Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba. Waandika ada pamoja na cost zote ni dollar 4000 , ila ukifika chuoni hata. Gharama zote hazifiki 1000.......hata universisty abroad ya mtu anaitwa Tonny ya kupeleka wanafunzi nje ya nchi ni matapeli kuliko matapeli wote duniani mshenzi sana huyo TONNY na genge lake ofisini
Jambo ambalo mimi hushindwa waelewa hawa watu ni REASONING yao.Hawajibu maswali wale
Walichoniambia ni kuwa hilo swali atakujibu aliyekuleta.
Nikawaambia atanijibuje huyu wakati yeye bado sio mnufaika wa hii biashara kama nyinyi.
Hamuoni kama naye huyu yupo hapa kujifunza na moja ya sababu za kumfanya atoe hela ni pale anapokuwa hana mashaka na hii biashara.
Na mashaka yetu yanahitaji majibu mazuri kutoka kwenu ili yaweze kuondoka.
Hawakujibu kitu wakanisisitiza nije semina ya pili nitapatiwa majibu nikaamua kuwapotezea.
Aahaaaa,alijibuje?MWISHO AKAJA KWENYE POINT
AKasema wamekuja na bidhaa ambayo ni package ya dawa lakini ni virutubisho. Wakasema wamefanya hivyo ili kuwasaidia watu hususani vijana watumie product hiyo kujikomboa kwenye umasikini.
Mchanganuo wa hiyo product sasa.
Ni kwamba kwanza unatakiwa uelewe kuwa hiyo product haitolewi bure. Ni package inayouzwa Shilingi 500,000.
Ndani yake kuna mchanganyiko wa dawa zenye kutibu magonjwa mengi ikiwemo kisukari, ugonjwa wa moyo, na Covid.
Hivyo unachotakiwa kufanya ni kutengeneza pair. Ukinunua hiyo package utafunguliwa account na kiasi fulani cha pesa utawekewa.
HAlafu ukimleta mtu mwingine hapa akanunua tena package yetu maana yake utapata shilingi 50,000 ambayo nayo itaingia kwenye account yako iliyotengenezwa.
KWa hiyo naye huyo mtu akileta mtu mwingine ndivyo utavyozidi kutengeneza hela kupitia pair.
MASWALI NILIYOWAULIZA
Niliponyoosha mkono kutaka kuuliza swali akaniruhusu.
SWali lilikuwa ni hili
Ikiwa kama kweli nyinyi mmeamua kumsaidia kijana ajitoe kwenye umasikini kwanini muweke gharama kubwa ya kununua hiyo bidhaa?
Je ni kweli mna amini mtu anayeweza kuwa na laki 5 ni mtu ambaye anahitaji kusaidiwa kuepukana na umasikini?
NImesikia kuna watu humu mnamiliki majumba na utajiri wa kifahari. Mwingine kasema ana
miliki 150M. Sasa akitoa 10M akatununulia hiyo product atakuwa amesaidia watu wangapi kuwainua kiuchumi?
Wanakuwa wameshajilipa cha juu zaidi ya asilimia 100 huku wanajifanisha kana kwamba wanakusaidia si ajabu na picha yako ukiwa airport unaagwa ikatumika kwenye matangazo kushawishi wengine.Kwamba. Waandika ada pamoja na cost zote ni dollar 4000 , ila ukifika chuoni hata. Gharama zote hazifiki 1000.......
Daaaaaah,umeamua kutuharibia mkuu!.
Nimesoma hakuna AJIRA,Ila nimeamua kujiajiri.
Mada Moto,wapenda ganda la ndizi matokeo ya elimu yetu ndo hiyo.
Siku hizi kamari mpaka TBC TAIFA.
Wakipona nite mbwa,nipo PALEEE.
Hapa nakukatalia, nime fanya kazi na university abroad representative naijua in out acha kupotosha jamiihata universisty abroad ya mtu anaitwa Tonny ya kupeleka wanafunzi nje ya nchi ni matapeli kuliko matapeli wote duniani mshenzi sana huyo TONNY na genge lake ofisini
Lengo la msukaji mipango tokea mwanzo si kufanya biashara halali kunufaisha pande mbili bali yeye mwenyewe, kwa maana siku zote biashara halali ina risks/hasara na gharama zingine ikiwemo kodi, mishahara na mengineyo.Jambo ambalo mimi hushindwa waelewa hawa watu ni REASONING yao.
Kama unaweza washawishi watu wakatoa hela, kwanini wasizidirect kwenye shughuli halali na wakanufaisha watoa fedha na wao wenyewe?
Kwani na wewe ni mlengwa mkuu?Kwanini unasema hivi mkuu
Kweli kabisa na hii ndio ukweli wa maovu.Hakuna ufala kama masikini kumwibia masikini mwenzie..siku zote ukiona utapeli unafanyika na usiposema juu ya utapeli huo jua na wewe ni tapeli.
Ndiyo washatoka bure hivyo unless wajiongeze waingie kitaa kusaka michongo lasivyo hali si hali mle kambini unaamka na ubao huku ukishindia mafunzo ya namna ya kuchojolewa zaidi.Ajira Hamna...vijana kujiajiri hawana mtaji ..bush hawataki kukaa... Wazazi wamewachoka.
Wacha waje mjini.
Bila Shaka hawatotoka bure.
Yaani Mambo si Mambo,ila elimu yetu nayo inachangia ndugu.Hali ni ngumu na kizazi hiki cha digitali bila ajira, vijana wanazidi kukosa mwelekeo na wapigaji nao kila uchao wanazidi kuboresha mbinu zao kulingana na muktadha, kuchomoka si rahisi.
Bongo kweli nyoso..bongo balaa![emoji124][emoji124][emoji24]Yaani Mambo si Mambo,ila elimu yetu nayo inachangia ndugu.
Konection ndogo,Bongo hii msemo wa YOUNG D.Bongo bahati mbaya.
BASATA wakaufungia ule wimbo,ukweli ndo uleeeeeee wameuning'iniza kwenye KITANZI.
Ikiwa wale maajenti njaa wa suti nyeusi wanakodiwa mpaka magari ya kutembelea kwa ajili ya ku-fake life hili kuingiza kuku wengi bandani, watashindwa nini kwenda kukodi kumbi za gharama huku wakijua unadhifu uficha umasikini[emoji23][emoji23]akili kumkichwa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana ni scammers wenye mitaji ya kukodi hadi ukumbi matata ili uamini tu upigwe
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Hapo kahsaletwa mrembo mkaliii anakokota begiHapo bado ujaoneshwa picha za kina Trump na mabilionea kadhaa (Photoshop) wakitumia bidhaa zao za virutubisho na kuvisifia ubora wake, yaani utake usitake lazima uingie kingi.[emoji23]
Ahahaha na wabongo tunavyoamini mtu anae miliki Gari ndio mwenye pesa na tajili lazima watu walizwe [emoji848] watu wanacheza na akili tuIkiwa wale maajenti njaa wa suti nyeusi wanakodiwa mpaka magari ya kutembelea kwa ajili ya ku-fake life hili kuingiza kuku wengi bandani, watashindwa nini kwenda kukodi kumbi za gharama huku wakijua unadhifu uficha umasikini[emoji23][emoji23]akili kumkichwa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]