ALLIANCE GLOBAL: Kampuni ya kitapeli inayoendelea kuliza wasomi wengi nchini

Jambo ambalo mimi hushindwa waelewa hawa watu ni REASONING yao.

Kama unaweza washawishi watu wakatoa hela, kwanini wasizidirect kwenye shughuli halali na wakanufaisha watoa fedha na wao wenyewe?
 
Daaaaaah,umeamua kutuharibia mkuu!.
Nimesoma hakuna AJIRA,Ila nimeamua kujiajiri.
Mada Moto,wapenda ganda la ndizi matokeo ya elimu yetu ndo hiyo.

Siku hizi kamari mpaka TBC TAIFA.
Wakipona nite mbwa,nipo PALEEE.
 
Aahaaaa,alijibuje?
 
Kwamba. Waandika ada pamoja na cost zote ni dollar 4000 , ila ukifika chuoni hata. Gharama zote hazifiki 1000.......
Wanakuwa wameshajilipa cha juu zaidi ya asilimia 100 huku wanajifanisha kana kwamba wanakusaidia si ajabu na picha yako ukiwa airport unaagwa ikatumika kwenye matangazo kushawishi wengine.
 
Daaaaaah,umeamua kutuharibia mkuu!.
Nimesoma hakuna AJIRA,Ila nimeamua kujiajiri.
Mada Moto,wapenda ganda la ndizi matokeo ya elimu yetu ndo hiyo.

Siku hizi kamari mpaka TBC TAIFA.
Wakipona nite mbwa,nipo PALEEE.

Hali ni ngumu na kizazi hiki cha digitali bila ajira, vijana wanazidi kukosa mwelekeo na wapigaji nao kila uchao wanazidi kuboresha mbinu zao kulingana na muktadha, kuchomoka si rahisi.
 
hata universisty abroad ya mtu anaitwa Tonny ya kupeleka wanafunzi nje ya nchi ni matapeli kuliko matapeli wote duniani mshenzi sana huyo TONNY na genge lake ofisini
Hapa nakukatalia, nime fanya kazi na university abroad representative naijua in out acha kupotosha jamii

Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
 
Jambo ambalo mimi hushindwa waelewa hawa watu ni REASONING yao.

Kama unaweza washawishi watu wakatoa hela, kwanini wasizidirect kwenye shughuli halali na wakanufaisha watoa fedha na wao wenyewe?
Lengo la msukaji mipango tokea mwanzo si kufanya biashara halali kunufaisha pande mbili bali yeye mwenyewe, kwa maana siku zote biashara halali ina risks/hasara na gharama zingine ikiwemo kodi, mishahara na mengineyo.

Huyu tapeli Mfilipino na wengine wa kariba yake hawana tofauti na wamiliki wa apps za social media na digital currency ulimwenguni ambao wanautajiri wa kufuru, wao utumia Mind psychology kuadaa na kuadict behavior ya watumiaji wa bidhaa zao kisha uchumia kivulini bila jasho, mlengwa aambulii chochote asipokuwa mjanja yeye anaishia kutoa tu mpaka awe mtupu.

Alliance Global kwa kulitambua hilo wanakufanya mlengwa uwalipe pesa ndefu kwanza baada ya hapo unakuwa mateka kwao ukijipa matumaini ya kurudisha ulichowekeza lakini pia ukiwaza kutoboa kimaisha kumbe ndiyo hivyo ushalevya na kutoka tena ni majaliwa na yeye CEO popote pale halipo pasipo kutumia nguvu kubwa uendelea kuchukua maokoto yake bila VAT wala tozo za mwigulu na hata biashara ikikumbwa na kashikashi yeye haimyumbishi anafungua tu tawi katika taifa jingine ambalo bado lipo usingizini mostly Africa maisha ya utapeli yanaendelea.
 
Kwanini unasema hivi mkuu
Kwani na wewe ni mlengwa mkuu?
Tunasema hivyo kwa kuwa biashara yeyote ile ina ethics zake hata kama unatengeneza faida kubwa upaswi kumfanya mteja wako mtumwa/ndondocha asiyefaidika na mfumo wa toa-nami nitoe, biashara haiwezi kuwa upande mmoja tu ndiyo unatoa kila kitu na upande mwingine unapokea na kuneemeka tu.
 
Ajira Hamna...vijana kujiajiri hawana mtaji ..bush hawataki kukaa... Wazazi wamewachoka.

Wacha waje mjini.
Bila Shaka hawatotoka bure.
Ndiyo washatoka bure hivyo unless wajiongeze waingie kitaa kusaka michongo lasivyo hali si hali mle kambini unaamka na ubao huku ukishindia mafunzo ya namna ya kuchojolewa zaidi.
 
Hali ni ngumu na kizazi hiki cha digitali bila ajira, vijana wanazidi kukosa mwelekeo na wapigaji nao kila uchao wanazidi kuboresha mbinu zao kulingana na muktadha, kuchomoka si rahisi.
Yaani Mambo si Mambo,ila elimu yetu nayo inachangia ndugu.
Konection ndogo,Bongo hii msemo wa YOUNG D.Bongo bahati mbaya.
BASATA wakaufungia ule wimbo,ukweli ndo uleeeeeee wameuning'iniza kwenye KITANZI.
 
Yaani Mambo si Mambo,ila elimu yetu nayo inachangia ndugu.
Konection ndogo,Bongo hii msemo wa YOUNG D.Bongo bahati mbaya.
BASATA wakaufungia ule wimbo,ukweli ndo uleeeeeee wameuning'iniza kwenye KITANZI.
Bongo kweli nyoso..bongo balaa![emoji124][emoji124][emoji24]
 
Hatari sana ni scammers wenye mitaji ya kukodi hadi ukumbi matata ili uamini tu upigwe

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Ikiwa wale maajenti njaa wa suti nyeusi wanakodiwa mpaka magari ya kutembelea kwa ajili ya ku-fake life hili kuingiza kuku wengi bandani, watashindwa nini kwenda kukodi kumbi za gharama huku wakijua unadhifu uficha umasikini[emoji23][emoji23]akili kumkichwa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo bado ujaoneshwa picha za kina Trump na mabilionea kadhaa (Photoshop) wakitumia bidhaa zao za virutubisho na kuvisifia ubora wake, yaani utake usitake lazima uingie kingi.[emoji23]
Hapo kahsaletwa mrembo mkaliii anakokota begi

Eti katua kutokea Ohayo Missouri kwenye maonyesho na kilele Cha mafaniko ya bidhaa na testimonies za watu mashuhuli..... Eti huyo ndio yule tulikuwa tunaongea nae akiwa kwa Flight ameunga kuwawahi ..me mbavu sina.😂😂
 
Ahahaha na wabongo tunavyoamini mtu anae miliki Gari ndio mwenye pesa na tajili lazima watu walizwe [emoji848] watu wanacheza na akili tu

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…