Pre GE2025 Ally Hapi: Vyombo vya dola shughulikieni wanaotaka kuzuia uchaguzi

Pre GE2025 Ally Hapi: Vyombo vya dola shughulikieni wanaotaka kuzuia uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Big hand to Ally hapi, kusema tu ya kwamba uchaguzi hautafanyika, ni kosa kamilifu la jinai.
Unapinga mipango ya serekali kwa njia ambazo pengine huenda zikahusisha ugaidi/uvurugaji wa amani na usalama wa watu.
Kwa hyo wananchi wakagoma kwenda kupiga kura mtawafanya nn? Ulevi wa madaraka ni kitu kibaya sana
 
Big hand to Ally hapi, kusema tu ya kwamba uchaguzi hautafanyika, ni kosa kamilifu la jinai.
Unapinga mipango ya serekali kwa njia ambazo pengine huenda zikahusisha ugaidi/uvurugaji wa amani na usalama wa watu.
FB_IMG_1740319325353.jpg
 
Up
Upinzani muwe mnajitafakari, wenzenu muda huu wanazindua miradi ya maji, mahospitali, wanakwenda kusikiliza shida Za watanzania, upinzani umekaa kiambazani unaota umeshajenga mashule, umeshajenga barabara na kura watashinda, what a shits dreams!

Chama gani cha upinzani duniani kinajenga mashule, mahospitali nk?
CCM kama chama tawala hayo ni majukumu yake lazima iyafanye sio hiari wala hisani maana wao ndio wakusanyaji Kodi na wasimamizi wa kila penye mapato ya Taifa letu.
 
Big hand to Ally hapi, kusema tu ya kwamba uchaguzi hautafanyika, ni kosa kamilifu la jinai.
Unapinga mipango ya serekali kwa njia ambazo pengine huenda zikahusisha ugaidi/uvurugaji wa amani na usalama wa watu.


Magaidi walishaachiliwa na utawala wa awamu ya sita akiwemo gaidi la kubambikiwaziwa Mbowe na wale wengine waliokua wamekamatwa na Kikwete awamu ya nne.

Huku kiongozi wao aliyekua akipokea pesa za misaada ambaye ndiye mshika kibendera au line mani wa uchaguzi chini na mkuu wa wale wasimamizi wa kuchagua akiwa amejiandaa kuvuruga huo mchezo .

Kutumia Jeshi la polisi kuua watu na kujeruhi watu kwa sababu ya watu wasiotii sheria na kanuni za uchaguzi kwa miaka 30 ni ushetani ambao siku moja watajisahau na kujikuta wanaumizwa wao kwa sababu ya kupigania maslahi ya mafisadi .

Mungu yupo hewani muda wote na ndiye anayweka watu wa kuongoza wengine kwa misingi ya haki . Nje ya Haki ni utawala wa wanadamu wenyewe na mashetani na majini kama tulivyoona yule mmoja alitumiwa majini na mashekhe ili ashinde maana hana ridhaa ya Mungu na ndio maana walishaweka mikakati kuwa Watashinda hata asipopenda Mungu muumba mbingu ,ardhi na rasilimali zote ikiwemo yeye mwenyewe na wapambe wake .
Kwa sababu Mungu hapendi wanaume mil.31 kutawaliwa na kuongozwa na mwanamke .

Jeshi la polisi kifuate sheria na katiba . Wawaache wanasiasa wafanye siasa zao na kutoa hoja zao. Kupinga maono ya chama chenye wananchi wengi nyuma yake kama Chadema ni upuuzi na kujilisha upepo kwa sababu unaigawa jamii .

Ila ni wazi kuwa Samia akitawala miaka mitano atakua amechokwa sana sana sana na watanganyika japo atakua tajiri namba moja wanamke Afrika nzima .
Madeni ya nchi yatafikia tril.100 mpaka 2030. CCM itakufa kabisa kabisa kabisa kufikia mwaka 2030 maana kizazi kipya kitakua kitazidi kufunguka na kujua ufisadi na hila za watawala . Kufikia wakati huo Hata mali zao zitakua zinajulikana vizuri maana itakua vigumu kuficha ukweli maana dunia inakimbia kasi sana katika teknolojia na uwazi .
Hapo chuki kubwa itazidi kupamba moto .CCM inaangalia uchaguzi huu bila kuangalia uhai wa Chama chenyewe baada ya awamu hii kuisha .

Pataibuka mashindano makubwa kati ya mafisadi ndani ya CCM watakaoungana na mafisadi ndani ya vyombo vya dola dhidi ya Wazalendo ndani ya CCM na wapinzani na wazalendo ndani ya vyombo vya dola .Patakuwa wamechangamka sana .
Traore kutoka Bukina Faso anaweza akatusaidia mawazo
 
Chama gani cha upinzani duniani kinajenga mashule, mahospitali nk?
CCM kama chama tawala hayo ni majukumu yake lazima iyafanye sio hiari wala hisani maana wao ndio wakusanyaji Kodi na wasimamizi wa kila penye mapato ya Taifa letu.
Tunamaanisha wao upinzani basi angalau wangekuwa wanafungua matawi ili kuimarisha vyama vyao, just a little something matters!, sasa hatuoni lolote hata dogo tu likifanyika, wapo wamengangana na ujinga wa maneno ya khanga
Sisi ccm Tunawapenda sana upinzani ndio maana na ushauri tunawapa huu ni upendo tosha kabisa kwenu.
 
VIDEO:

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Huyu mlima pilipili mbona mavi yanaanza kumbana wkt yule mwehu dc wkt ule anajisifia kuwa walihusika na utekaji wa wapinzani huko kwenye mapori mbona hakukenua mdomo wake, aache udada kama anaweza awakamate yeye asichochee vyombo vya dola kuleta fujo
 
Up
Upinzani muwe mnajitafakari, wenzenu muda huu wanazindua miradi ya maji, mahospitali, wanakwenda kusikiliza shida Za watanzania, upinzani umekaa kiambazani unaota umeshajenga mashule, umeshajenga barabara na kura watashinda, what a shits dreams!
Chama gani inazindua ujenzi wa Hospitali? Unachekesha sana, kama CHADEMA kupata tu eneo la wazi kwa ajili ya kufanyia mkutano wa adhara ni tatizo hiyo building permit si itakuwa ndoto.

Yaani kuna chama kinaitwa CCM ikishirikiana na serikali hakitaki kabisa wananchi wake kupata maendeleo kutoka kwa taasisi nyingine wakati huohuo serikali imeshindwa kabisa kuwatimizia wananchi ata hayo machache ambayo wangepata kutoka kwa wengine
 
Back
Top Bottom