RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Wekeni akiba ya maneno bado teuzi zipoHii mbusi ali happy ilikuwa na nyodo sana. Na tumbili sasa ataishi kwa mshahara haramu wa nkewe. Kudadadeq walahi!!!!
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Dini inamruhusu na umri inamruhusu pia... kijana mdogo kama yule anakuwaje na wake wanne kwa umri ule?
😀 😀 😀wee waache labda kafulila ila happy wazee wamemkatia ringii aiseeeWekeni akiba ya maneno bado teuzi zipo
Haitofuta upumbafu wa aliyofanya na akaonywa na kamati ya siasa ya mkoa wa Simiyu na hakusikia.... Niishie Hapo....Una uhakika hatapata uteuzi tena?
Huna akili kabisaHaitofuta upumbafu wa aliyofanya na akaonywa na kamati ya siasa ya mkoa wa Simiyu na hakusikia.... Niishie Hapo....
Halafu akaliwa kichwa..[emoji23]Na huyo Kafulila ndio zilikuwa zake. Yaani waandishi karibu wote pale Simiyu walikuwa kwenye payroll yake, basi ni kumsifu kila mahali hadi unasema hakuna kama yeye
Bora kupoteza hirizi kuliko kufiwa na mgangaGodfather alikuwepo, hivyo alijua Godfather atakuwepo milele
Sina Kwa kweli..... Ila alichoonywa ana jua yeye ...labda ukamuulize vizuri maana imekuuma sana.... Wahi mkapozane mapema....Huna akili kabisa
Akili Hakuna hapo, tafuta kwanza akiliSina Kwa kweli..... Ila alichoonywa ana jua yeye ...labda ukamuulize vizuri maana imekuuma sana.... Wahi mkapozane mapema....
Kafulila na hapi wote ni akili ndogo wakitimuliwa nisawa kabisa kwanza walicheleweshwa sana mama aliwavumiliaKaribuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Sorry kuna shida sehemu?
Wakiteuliwa tena?Kafulila na hapi wote ni akili ndogo wakitimuliwa nisawa kabisa kwanza walicheleweshwa sana mama aliwavumilia
Nimeshafuta, imekaa njemaSorry kuna shida sehemu?
Nafikiri hata wewe unajua namna mipira ya kona inavyochezwqKama Lukuvi na Kabudi walivyopewa teuzi nyingine
Tanzania, ni hii hii tu wanaaofanya miujiza si wachungaji pekeeKama yule aliyewachapa viboko wanafunzi huko Mbeya. Nani alijia atarejea tena?
Shida iko wapi hata kama ni hivyo?Mleta mada lazima atakua ni mchaga, na mfuasi wa Chadema, lazima.
Kafulila kujiunga na ACTKaribuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana