Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Manara si apumzike jamani, anataka kufosi kuonekana anaweza hiyo kazi wakati muda umemtupa mkono. He needs to accept the change! Na uzuri klabu imefanikiwa sana wakati yeye kafungiwa hivyo Hana sababu ya kutaka kufosi usemaji, shubaamiiiittt
 
Mitandaoni kote leo watu wameumizwa na hii habari na hawamtaki Manara. Haji Hebu pumzika bhana, tunajua unatafuta kutrend kupitia timu yetu.. Tunapoteza watu makini Kama Ali Kamwe kwa ajili ya Haji ambaye umri umemtupa mkono. Tunahitaji kijana wa kuendana na mabadiliko.
Dah!
Hii habari sijaifurahia!
Hajimanara sijawahi kumkubali hafai hana nidhamu matusi na kejeli zimemjaa
Alikamwe ni mtu na nusu anaweza kutuchangamsha pia n
 
Ukiangalia ile press conference unaona kabisa huyo Tupinkele Manars ni tatizo. Mbaya zaidi hana hekima.
Uongozi wa Yanga unapaswa kuhakikisha haumruhusu huyo mtu kuwa sehemu ya wafanyakazi wa Yanga.
Manara anaji position kama the most important and strong person kwenye club kuliko yeyote, anajiona yeye kama kuna mtu wa kumwambia chochote pale Yanga basi GSM pekee.
Huyo Kirusi aondoke, hatuwezi tukaongelea transformation ya Club huku ukikumbatia watu aina ya Manara
 
Back
Top Bottom