Ally Kessy awashukia Zanzibar, Awataka Wabunge wa Zanzibar watoke nje kwa mambo yasiyo ya Muungano


ccm wote wamepoteza sifa ya kuwa wazanzibari kwa kuwa wao hata kama wanatukanwa hawajali... wanachojali ni matumbo yao tu yanajaa sasa hivi... kwani huyo kessy alianza leo hayo masimango?
 
Muungano utakaodumu unatakiwa uwe wa watu kwa manufaa ya watu, kamwe usiwe wa viongozi. Rasimu ya Warioba ilitoa mapendekezo mazuri kuhusu muundo wa muungano lakini kwa sababu ilitishia kupunguza nguvu ya watawala wakaanzisha mizengwe na kuibadilisha maudhui yote.

Wascotish wanahoji muungano wao na England, catalonia nao wanahoji, ifike mahala wananchi wawe na kauli ya mwisho kuhusu muungano si bunduki na vifaru
 
Shida ipo zanzibar tukidai kujitenga wanatuzingua ila wakiendelea na kauli tAta bAsi nasi tutadai haki zetu kwa nguvu zote
 
Huyu Kessy bado sijajua ana chuki gani na Wazanzibar maana kila Kikao lazima aje na neno zito kuhusu Zanzibar.
 
Hahahaaa huyu mzee bhana...ameeleza ukweli hata hivyo
 
ccm wote wamepoteza sifa ya kuwa wazanzibari kwa kuwa wao hata kama wanatukanwa hawajali... wanachojali ni matumbo yao tu yanajaa sasa hivi... kwani huyo kessy alianza leo hayo masimango?
Ukweli si masimamngo, unabaki kuwa ukweli ndiyo maana nimekuomba unipe namba za miezi 3 tu uiliyopita mchango wa znz ni upi?

Nikauuliza mgonjwa apelekwe nje na wizara ya afya ya SMZ, bili alipe Mtanganyika, hiyo sawa?

Nikakuuliza watoto wa znz wanasoma bure, wanaolipa kodi bara wanadaiwa, hilo sawa?

Nikakuambia kugawana mabalozi sawa, 10 watatoka znz. Lakini pia znz ihudumie balozi hizo

Nikaongeza, wale wabunge wanaosema hovyo wanalipwa na SMZ? Wanaonewa wapi?

Ajira za muungano ni za Tanganyika bado wznz wanalipwa PAYE kwa kupunguziwa mzigo wa unemployment, wapewe nini Zaidi?

Mbunge Kessy anawaeleza ukweli, ukweli mtupu. Zama za 'tutavunja muungano' zimekwisha.

ZNZ sasa isimame kuchukua dhamana ya watu wake, taasisi zake na mambo yake. Kule wasikoweza tutawasaidia, wanapoweza japo kidogo watusaidie maana mchango haupo

Natamani tungekuwa na Kessy wengi wa kuwapa ukweli.
 

Sawa naiwe yote hayo unayosema ni kweli ...ila swali ni kwa nini serikali ya muungano ikubali kutokuifanyia usawa Tanganyika na badala yake ikubali kuibeba Znz kiasi chote hicho ? kuna ambalo hatulijui ? what is behind the scene ?
 

Je unahakika na madai yako? Nyerere alikuja Zanzibar? kati ya bara na visiwani nani anashida na mwenzie? hata kwa macho unaona. Wewe punguza EGO yako jua nyinyi si lolote halafu kaa kimya Msidai usawa bali uwiano maana wote mnakuja UDSM kusoma ulisikia mbara anasoma Zanzibar?

mnapata mikopo huku na mnanunua aridhi huku mtu wa bara hawezi nunua ardhi kisiwani wewe hiyo huoni unaongea uongo wa utalii, utalii sio jambo la muungano acha hizo properganda zako
 
Kwenye bunge la katiba alisema anataka serikali tatu, ila wazanzibari muache unafiki mnajua wazi huu muungano unatetewa nakulindwa kwa jinsi ulivyo na CCM, inakuwaje kwenye uchaguzi kwa wingi wenu hamuipigi chini ikose majority?
 
Kaka naomba ufafanuzi hivi machogo ndio kina nani na hili neno lina maana gani? Maana Mimi nawajuwa vitimbakwiri tu
 
Bara tunanufaika nini na Zanzibar? sema tuu
 


na mbado! tatizo wa zanz mpo kama mazuzu hamuelewi A wala Z , tutaendelea kuwafanya vijakazi wetu milele na viongozi pia tutawachagulia , mkileta fyoko jeshi linahamia huko hadi mnyooke. Usijali tutaendelea kuwalisha pamoja na wake zenu maana kazi mnayoweza ni kukaa vibarazani tu.

Swala la REFERENDUM sahau kabisa na haitatokea. Mtaendelea kuwa koloni letu hadi mtapojitambua
 
Kwenye bunge la katiba alisema anataka serikali tatu, ila wazanzibari muache unafiki mnajua wazi huu muungano unatetewa nakulindwa kwa jinsi ulivyo na CCM, inakuwaje kwenye uchaguzi kwa wingi wenu hamuipigi chini ikose majority?

siwezi kujibu hili swali ...inaonekana ama hupo Tanzania au huelewi/hufuatilii kinachoendelea. nahisi nitajipotezea muda wangu bure hapa.
 
wagagigi, post: 16362160, member: 263409"]siwezi kujibu hili swali ...inaonekana ama hupo Tanzania au huelewi/hufuatilii kinachoendelea. nahisi nitajipotezea muda wangu bure hapa.
Niko Tanzania na najua kinachoendelea na tutaendelea kuwaelimisha unless mkajifungie chukwaani
 
Kwa nini wasiwaache waende? Ya nini kuungana kwa masimango? Kwa nini wanajidai kuupenda muungano ila watu wake hawa wapendi? Unataka muungano ila hutaki kuchangia sawa na mwenzako kwa nini? Wawaache waende jamani wasiwaumize kwa maneno ya kipuuzi kila uchao.

Si hawana faida? waacheni waende.
 
Kuna nchi mbili na serikali mbili tu,Zanzibar na Jamhuri ya MUUNGANO ya Tanzania.
Labda Kessy atueleze wazanzibari wakitoka nje ya bunge,yeye na watakaobakia ndani wataendesha vikao kwa mwamvuli wa serikali ipi?

Hilo ni bunge la Jamhuri ya Muungano,wakiwekwa kando wazanzibari linalobakia litaitwa bunge lipi na wapi linatamkwa kisheria?

Ipo siku mtarudi kwa Warioba mnatambaa,natamani siku hiyo huyu mzee angalao awatandike makofi!
 
Quick response. Usitumie fallacy kumtafakali Ally Kessy. Bettry ya simu ikiwa mbovu nunua mpya weka kwenye simu.
 
Ama kweli mkosoaji wako hawezi kuwa rafiki. Angea wa oppostion usingemsema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…