Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Kwani wanaompinga Magufuli ni wapinzani!? Bulembo mpinzani?, Makamba mpinzani!? Samia anayeponda falsafa za Magufuli ni mpinzani!? Nape mpinzani!? Wapinzani wa Magufuli wa kweli ni wenzake wa ccm waliokuwa wanangoja afariki, chama kirudi kwa wenye nacho kama Nape alivyosema.
Thanks. Acha wafu wazikane wao kwa wao.

Huu utamaduni wa kishenzi una mizizi ndani ya CCM. Ni mapambano ya ndani kwa ndani: uncivil civil war. Wapinzani nao wamejeruhiwa na kusemewa mbovu. Leo Lissu anaitwa mlemavu kwa kejeli! Ni vigumu sana kutarajia ustaarabu katika mazingira haya - selectively.

Wastaarabu watabakia kuwa wastaarabu. Lakini endapo siasa za kishenzi zitaendelea kuzawadiwa na walioshikilia dola, wasema ovyo watazidi kuongezeka. Malalamiko yatakuwa suala la zamu.
 
Hakuna namna atasemwa kwa ubaya wake, na maovu mengi aliyotenda, hakuna kupumzishwa!!

Kwa nn Mwinyi, Mkapa au Kikwete asisemwe! Ubaya aliofanya kwa watu ndo umefanya watu hasira zisiishe,
This is simply incoherent.
 
Simple fact
Ukiwakataza watu kusema mabaya yako ukiwa hai"
Watayasema (without time frame) vibaya ukiwa marehemu
.. haihitaji rocket science to understand this...

Kiranga' hapa umechemka .
Nuance please.

Kwanza unaelewa kwamba sijakataza watu kumsema marehemu.

Nina vitabu vya Caligula, Hitler, Stalin,Pol Pot vinawasema kuhusu ubaya wao.

So, let's get that low hanging fruit clear first.

Sijakataza marehemu kusemwa kwa ubaya wake.

Mimi mwenyewe nishamsema Magufuli kw aubaya wake, baada ya kufa.

Umeelewa hilo kwanza?
 
Tusipangiane majukumu. Wewe shughulikia Katiba, sisi tuachie mtu wetu tuhangaike naye maana ameacha wajinga wengi sana.
Tatizo hata hilo jukumu la kuwa fix wajinga wengi sana hamliwezi.

Mnafikiri mnamshusha Magufuli kwa kumshambulia personally, wakati, kiukweli, kwa ku focus kwake personally, mnampandisha tu.

You are doing yourself a disservice.
 
Logic

Logic yako ni kutaka watu wenye kutofautiana kimtazamo waandamane ili iweje?

Watu huonesha hisia na misimamo yao kwa njia tofauti kwa jinsi walivyochagua.

Sasa binafsi si kuelewi kwa nini unataka watu watumie njia yako ya maandamano badala ya kwenye social platform.
Nini kinakuuma hapa?
Maandamano ni metaphor kwa action on the ground.

Watanzania wengi ni keyboard warriors mitandaoni, action on the ground ni zero.

Na ndiyo maana kina Kikwete wakaja na msemo kama "Ni upepo tu, utapita".

Kwa sababu wanajua Watanzania wana wingi wa maneno, hawana vitendo.

N ahili likiendelea, hakuna kitakachobadilika.

Hususana kama, hata hayo maneno wanamsema mfu, na katika ku focus kwa huyo mfu, rais aliye hai na mtandao wake wanaachwa.

There is an opportunity cost in this.

Tuliosoma uchumi tunajua.
 
U

Nadhani shida sio ccm kutawala shida ni viongozi wapuuzi wa haki za raia na katiba. Hawa lazina wasemwe, wabagazwe, wajihisi vibaya ila kama wamekufa watumiwe kama reference.
Shida yako ni nini hapo?
Kama unaona shida siyo CCM basi una shida zaidi.

Viongozi wabovu waliofariki wanatumiwa kama reference.

Hapa kwangu nina vitabu kemkem vya Caligula, Hitler, Stalin, Pol Pot, Idi Amin, etc.

Hivyo, hilo si suala geni.

Tatizo, wanachambuliwa kwa nuance? Wanajadiliwa kwa mtazamo wa kubadili policy? Kubadili institutions ili tusirudie matatizo?

Au wanasemwa "Magufuli was a wallking carcass" in a crude, hateful and vitriolic manner which does not add to institutiona changes, but just emotional ranting?
 
Kwani wanaompinga Magufuli ni wapinzani!? Bulembo mpinzani?, Makamba mpinzani!? Samia anayeponda falsafa za Magufuli ni mpinzani!? Nape mpinzani!? Wapinzani wa Magufuli wa kweli ni wenzake wa ccm waliokuwa wanangoja afariki, chama kirudi kwa wenye nacho kama Nape alivyosema.
Wote hao hawajawahi kusema "Magufuli was a walking carcass".

Mimi mwenyewe nampinga Magufuli.

Lakini, napinga kumpinga kijinga kwa kusema "Magufuli was a walking carcass".

First of all carcasses don't walk, so that shit is oxymoromic.
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Kwa nini hukupenda utawala wa shujaa‽
 
Aliyeelewa tusaidiane kueleweshana kwa maslahi mapana ya taifa!
Nimeona AC zinapepea hapo kwenye jukwaa la Kampeni wakati mweshimiwa anamwaga madini kwa wanyonge wake
 
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?
Kheri huyu anasemwa akiwa mfu kwani hayasikii, Lowasa mlimsema maneno machafu machafu ya kila aina akiwa hai anayasikia, kwenu mlijiona mashujaa na utu wenu uliotukuka!
Lowasa hakuwa na mamlaka hivyo alilazimika kuyapokea matusi yote aliyotupiwa na viongozi wa CCM bila kujali kuwa Lowasa ni mtu mzima anayofamilia inayoumia inaposikia mume, baba na babu yao akiporomoshewa matusi ya mfu!
Naona kilichoandikwa kwenye mjadala huu ni muendelezo ulipoishia, kama kuikataa lugha hii mngeanzia kwa Lowasa.
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Maiti waheshimiwe mkuu, muache mwamba apumzike japo sikuwa fan wake mkubwa ila ni kiongozi wetu na amesharudi mavumbini uache kejeli .
 
Kheri huyu anasemwa akiwa mfu kwani hayasikii, Lowasa mlimsema maneno machafu machafu ya kila aina akiwa hai anayasikia, kwenu mlijiona mashujaa na utu wenu uliotukuka!
Lowasa hakuwa na mamlaka hivyo alilazimika kuyapokea matusi yote aliyotupiwa na viongozi wa CCM bila kujali kuwa Lowasa ni mtu mzima anayofamilia inayoumia inaposikia mume, baba na babu yao akiporomoshewa matusi ya mfu!
Naona kilichoandikwa kwenye mjadala huu ni muendelezo ulipoishia, kama kuikataa lugha hii mngeanzia kwa Lowasa.
Lowassa tulimsema mimi na nani? Wapi? Weka ushahidi hapa.
 
Lowassa tulimsema mimi na nani? Wapi? Weka ushahidi hapa.
Ila hata marehemu Magufuli naye alimletea kiburi cha uzima Bwana Lowassa. Kule Tume ya Uchaguzi alijigamba yeye alipanda ngazi wakati Lowassa alitumia lifti. Jukwaani alikuwa anapiga push ups kuonesha yeye alikuwa fit (ana afya bora) kuliko Lowassa. Kile kilikuwa kiburi cha afya.
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Kumbe alikuwa spana mkononi!
 
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Tunajua unaishi ughaibuni, tunajua unajua kiingereza sana. Lakini kwa nini unatumia vimaneno vigumu sana?

Lengo la lugha ni mawasiliano.

Badilika mkuu
 
Back
Top Bottom