Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Wewe kama ni mkristo ( huwezi vunja ndoa) nakushauri fuata mambo yako as longer as dharau haipo nyumbani.. ila kama ni mwalimu wa madrasa basi weekend hii nicheki nikupeleke Vikindu tukachukue mke bro.
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
chunguza kwanza kwa makini na usifanye anything stupid
 
Nilishabonda lidada core worker mke wa mtu,ule ukaribu tulijikuta tumelambana, ningefanyeje sasa, toa ni kifungo
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Ngono ni Tabia. Ukimukwamisha kwa huyo ko weka atakwenda kwa mwingine. Mshauri tu awe anatumia Kinga ili asikuambukize magonjwa. Kula tu na mwenzio.
 
Tanzania tutakuwa na uhaba mkubwa sana wa vijana! Hivi mke naye amekuwa wa kuchungwa kama mbuzi? Mwishowe utaamua sasa kumfungia ndani kama kuku!
 
Kama hujazaa nae mtwange talaka ili uishi maisha huru,kama umezaa nae,chunguza kwanza,ukipata ushahidi kamili mtwange talaka,

Kingine wewe unaonekana humuamini kabisa Mkeo na ndio maana ukamuwekea informer,na huyo informer wako hana akili,unawezaje kumchunguza mke wa mtu kisha unapeleka habari kwa mumewe? Huna kazi za kufanya?
Ukute li informer lenyewe hata halina mke! Pumbavu kabisa! Hili janaume nalo takataka kabisa! Unamwekea mkeo wapelelezi? Unazifahamu nia ovu za hao mashushsu? Watakuharibia ndoa bure!
 
Ndoa yako inaongozwa na huyo informer wako mkuu, waza kwa sauti asingekuepo si ungekua na amani tu.....mimi kitu nimejifunza kwenye ndoa ni kukaa mbali na kitu chochote kitakachonikosesha amani ya moyo, bad enough mwenzangu aendelee kuenjoy mimi nikae nalia....nefa[emoji1787] nikiona simu kabla sijashika najiuliza hivi baada ya kupekua hii simu nani atalia..mimi au yeye?! Nikijua ni mimi naiacha mahala pake naendelea kunywa pepsi
 
"Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake"

Presha zote hizi 👆👆za nini??

Jifunze kuwa mtulivu katika changamoto.

Fanya utafiti bila kukurupuka.

Halafu siyo kila kitu unakichukulia personal.

Iwapo mkeo ana chepuka hilo siyo tatizo lako bali ni la mwanamke

Iwapo utathibitisha pasina shaka kwamba mkeo amenogewa basi na wewe tafuta mpenzi mwaminifu ruka naye.

Maisha ni mafupi sana kuanza kulizana kisa penzi.

Wanawake wapo kibao.

Kwanini uumize kichwa kwa mambo yasiyo na kichwa?

Maaumuzi ya maisha yako yapo mikononi mwako na siyo kwa mke wako.
 
Hembu piga mimba za fasta kwanza mchakaze.

Kuna mwamba mmoja alioa demu mkali na demu kwao mambo safi.

Mwamba ni ticha tu.

Alijua Yuko league tofauti sana so solution mwamba akapiga mke mimba Tano za fasta yaani bandika bandua time range ni mwaka mmoja na nusu.

Halafu akachiili[emoji2]
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Huyo Rafiki yako Ni wa kike au Wa kiume
 
Back
Top Bottom