Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

It's not about kukaa milele bali naongelea maisha bila unafiki na kutumiana.
You won't get that from anyone but your other selves, family.

Unless kutumiana kwa faida ndio main goal which it is, na ndio maana nikasema marafiki ni watu wa ziada tu kwenye maisha yako na sio kitu reliable wala dependable kiasi cha kusema kufa na kuzikana kitu ambacho hakipo.
It's just reality.
 
Daaa huu uzi umenifanya leo nimemuota moja ya marafiki zangu kati ya waliofariki kuwa yupo hai....kwa age ya miaka 27 kupoteza karibu marafiki WANNE ambao mlicheza wote utototoni na kukua pamoja ni jambo ambalo nikilifikiria sometimes linanitoa machozi sijui why ila hata nikirudi nyumbani nilikozaliwa leo SINA PAKWENDA KUTEMBEA sina RAFIKI ambae nasema huyu tumetoka mbali...they are all gone inaumiza sana. MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA.
 
Kumbe hata hujaoa?
Looking for my type and preferences.
Mkuu unatumia nguvu nyingi sana kupinga maswala ya kuwa na familia yenye maisha ya furaha, lakini tambua maisha hayako fair.

Na kingine ni kwamba Mwanaume, Mume au Baba ndio reflection ya familia yake. Mwanaume ndio anaamua maisha yake na familia yake yawe vipi sasa kwa mtazamo wako huo na jinsi ulivyo means uko sahihi kupinga.
 
Mkuu Billy Butcher asante sana umefafanua vizuri na umeniongezea maarifa.

Wengi hatujui wakati mwengine hata ndugu wa damu hao siyo rafiki sahihi inabidi rafiki wa kweli watokane na kiuno cha muhusika.
Na hicho ndio exactly nilichomaanisha, hata kama hautopata mtu sahihi lakini watoto wako siku zote watakuwa wa kwako na hawatokuacha. kama utakuwa na bahati ya kupata mtu sahihi then that will be more than heaven on earth.

Naamini wanawake wanaojitambua bado wapo hapa duniani ila kuwapata ndio kazi. Only the lucky few.
 
Wewe unatoa alafu wenzako kazi yao kula tu na utaendelea kutoa huku ukiumia sababu unaogopa kuwapoteza.
Na hao rafiki zako wanajua hilo hivyo wanafanya makusudi kwa maslahi yao. wanaita kutumia fursa.

Kwa hiyo kazi pekee itabidi ulipwe mshahara kila mwisho wa mwezi mkuu.
 
Mekusoma vizuri kiongozi.



Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Watoto pamoja na ndugu wa damu ndio unatakiwa kujenga nao bond, sio unakuwa na watoto wako tu unakuwa huna habari na ndugu. Nimejifunza mengi kwa hawa the so called marafiki, wengi wana unafiki mwingi tu. Ukipata janga la muda mrefu ndio utajua umuhimu wa ndugu. Ndio utakuwa nao kwa shida na raha. Ndio wanaweza kukesha na wewe ukiwa unaumwa, rafiki atakuja kusalimia tu na kuondoka.

Juzi mtoto wa kaka alipata ajali mbaya, bahati mbaya ndugu wengine walisafiri kula Eid kijijini. Nilipoambiwa kihusu ajali nilivaa dera tu na kuchukua gari na kumpeleka hospitali. Kuanzia saa moja hadi asubuhi hadi saa kumi usiku tumekesha hospital. Huyo kaka tumeshare baba. Marafiki wznapiga tu simu kuulizia.
 
Urafiki una gharama sana mkuu, Usihofie kuzikwa na manispaa ila kama unahitaji mtu wa kubadilishana nae mawazo basi anzia hapo hapo na kwenye majirani zako chagua mmoja ambae mnaendana nae kinamna fulani, Kimawazo,Kitabia,Kimaisha.
Majirani naona siwawezi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani ni waswazi sana at least nilimzoea mmoja huyo ndio hata taarifa za misiba mtaani ananiambia siku moja house girl akamwambia dada kasema ( mimi sasa) umemwambia mi nna bwana....ila kiukweli sikusema.

Aseee alinifata na watu 9 kuja kuniuliza 🀣🀣🀣 nikaona hili balaa nikiwazoea hawa kuna siku watanifata na ngoma na sare ya vijora hivo route ni ndani kazini...kazini ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…