Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Nilipata mmoja.. wakati nimeenda kutibiwa😂 alikuwa fuckmate tu sikutaka kukita mizizi pale.. both of us tulikubaliana hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamu za usiku ni stress tupu.Nilipata mmoja.. wakati nimeenda kutibiwa😂 alikuwa fuckmate tu sikutaka kukita mizizi pale.. both of us tulikubaliana hivyo.
Mie career yangu ndio kichefu chefu zaidi.. bora yeye..😂Zamu za usiku ni stress tupu.
🤣🤣🤣Haya bhanaJina limekubali kwenye statement😂
Hili swali umeuliza kanakwamba kuna formula ya mapenzi!Habari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD).
Karibuni
sorry naomba uni-dadavulie hii sentence ndugu yangu, pleasewhen you have someone with medical knowledge ia alway a plus
Having someone with medical knowledge is always a plus. But on the other hand, you’d better hope she’s a God-fearing woman—because she has a thousand ways at her disposal to give you a 'natural' death, if you know what I mean.
Vipi aliolewa?Sikuwahi kubahatika kumwoa MD isipokuwa kudate naye
Have dated MD wa kike almost 2 good years
Hawana tofauti na Wanawake wengine isipokuwa kiburi na majivuno off which Sina uhakika na madaktari wengine wa kike kama wapo hivyo
U-busy busy (usiwe na wivu, anaweza kupigiwa simu Kuna mgonjwa na akakimbia faster kwenda kutoa huduma) 🙌
Ilikuwa akipata nafasi ya Kuja kunisalimia, alihakikisha nam-fuvk Siku nzima hadi chakula anafanya kuagiza tu na boda
Ulimtongozaje?Nilipata mmoja.. wakati nimeenda kutibiwa😂 alikuwa fuckmate tu sikutaka kukita mizizi pale.. both of us tulikubaliana hivyo.
Alini-overdose kuna sindano nilichoma sasa ikaniletea shida.. ikabidi awe na ukaribu na mimi na mie nikaomba contacts just incase nikirudi or nikwa njiani kuelekea home nikipata shida nimcheck, so... ikaw ndio mwanzo wa kuchatishana mwisho wa siku nikaomba aje anione mgonjwa wake..Ulimtongozaje?
Same tu me ....Yan wanajiona ka Wana ka Dunia kao flan iv...Sikuwahi kubahatika kumwoa MD isipokuwa kudate naye
Have dated MD wa kike almost 2 good years
Hawana tofauti na Wanawake wengine isipokuwa kiburi na majivuno off which Sina uhakika na madaktari wengine wa kike kama wapo hivyo
U-busy busy (usiwe na wivu, anaweza kupigiwa simu Kuna mgonjwa na akakimbia faster kwenda kutoa huduma) 🙌
Ilikuwa akipata nafasi ya Kuja kunisalimia, alihakikisha nam-fuvk Siku nzima hadi chakula anafanya kuagiza tu na boda
Daktari umzalishe kwa fujo!? Labda mkubaliane awe ameridhia hiyo fujooa mwanamke sio kazi yake itakupasua kichwa na sio uoe akusaidie mjenge nyumba ...ila oa akuzalie wanao Tena zalisha kwafujo
Kila mwaka mmoja na NUSu ,mimba azae haraka ili tuone atapata MUDA wa kishenzi na washenzi wezake shift hukoDaktari umzalishe kwa fujo!? Labda mkubaliane awe ameridhia hiyo fujo