Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Mbona haya makabila mkuu? 😀
Huyo MD ni wa Kipare, Muhaya, au Mnyakyus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo MD ni wa Kipare, Muhaya, au Mnyakyus
Mbaya zaidi unaweza kukuta hata kitandani hana maajabu kabisa 🙌Same tu me ....Yan wanajiona ka Wana ka Dunia kao flan iv...
Bado hajaolewaVipi aliolewa?
Kama ndio hampashagi viporo?
Sasa pensheni unataka kufanyia nini mkuu? Maana hata hela ya pensheni hawashauri kujengea wala kununulia gari, wanasema ndio wakati mzuri kutembea kwa miguu kwa wastaafu.Bado hajaolewa
Sikutaka kupasha naye kiporo maana aliniambia anataka kunibebea mimba, kwa Uzee huu nisije kumaliza pension yote kusomesha mtoto wa Uzeeni 🙌
Unataka hela ya Pension nitumie kilipia Ada watoto wa Uzeeni badala ya kuitumia kula maishaSasa pensheni unataka kufanyia nini mkuu? Maana hata hela ya pensheni hawashauri kujengea wala kununulia gari, wanasema ndio wakati mzuri kutembea kwa miguu kwa wastaafu.
sasa na wewe mwenyewe lazima ujiongeze unapigaje simu muda wa kazi na unaijua kazi yenyewe, ameletwa mgonjwa na ambulence atapokea simu hapo?Wengi wana swing mood jiandae na makwazo yasiyoisha kutokana na stress za kazi. Simu unapiga hazipokelewi kwa wakati, sms ndio kabisa ukilalamika utaambiwa una gubu jiandae kutukanana kila wakati.
Hao ndio wa kuwahudumia sasa maana hao wanatakuwa bega kwa bega wakati ambao hautakuwa na nguvu maana wakubwa wote watakuwa kwenye familia zao na majukumu yao. Watoto wa uzeeni huondoa upweke wa nyumba kipindi ambacho nyumba nzima mpo wawili au mmoja.Unataka hela ya Pension nitumie kilipia Ada watoto wa Uzeeni badala ya kuitumia kula maisha
Tuoneeni huruma Wazee 🤗
Nitacheza na Wajukuu zangu tu, suala la kuambiwa ada za watoto ni milioni 7 Kwa Mwaka wakati huo unakuta mtoto yupo darasa la 4 na muda huo pension yangu ya Mkupuo ni milioni 178 sio poa kabisa 😜🙌Hao ndio wa kuwahudumia sasa maana hao wanatakuwa bega kwa bega wakati ambao hautakuwa na nguvu maana wakubwa wote watakuwa kwenye familia zao na majukumu yao. Watoto wa uzeeni huondoa upweke wa nyumba kipindi ambacho nyumba nzima mpo wawili au mmoja.
IQ yako imzidi.Habari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD).
Karibuni
Za kuambiwa changanya na zakoMmh mambo ya kuingia night,operation nne kwa cku,bila kusahau academic arrogance
Hili la simu kutopokelewa ni 100% , ukienda na mapenzi ta njiwa yale ya kila muda kuchati na kuongea ni lazima ujione yatima.Wengi wana swing mood jiandae na makwazo yasiyoisha kutokana na stress za kazi. Simu unapiga hazipokelewi kwa wakati, sms ndio kabisa ukilalamika utaambiwa una gubu jiandae kutukanana kila wakati.
Atakuwa mzaramoHuyo MD ni wa Kipare, Muhaya, au Mnyakyusa?
Jiandae kuchapiwaHabari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD).
Karibuni