Ambao wameoa mwanamke daktari naomba kujua raha na karaha

Ambao wameoa mwanamke daktari naomba kujua raha na karaha

Nitacheza na Wajukuu zangu tu, suala la kuambiwa ada za watoto ni milioni 7 Kwa Mwaka wakati huo unakuta mtoto yupo darasa la 4 na muda huo pension yangu ya Mkupuo ni milioni 178 sio poa kabisa 😜🙌
Acha mzaha dogo, milioni 178 kwa kikokotoo kipi? Watumishi wa Umma mnapenda kudanganya sana, kwanini?
 
Wakati wewe kila ukimuangalia unafurahia taswira ya sura na umbile lake maridhawa; Yeye akikuangalia anaona hadi taswira ya skeleton yako! (cartoon joke).
 
Acha mzaha dogo, milioni 178 kwa kikokotoo kipi? Watumishi wa Umma mnapenda kudanganya sana, kwanini?
Sisi Wakulima hatutegemei Kikokotoo Mkuu, hapa nilipo nina ekari za kutosha za miti ambayo nikivuna sikosi milioni 200 zangu

Hata hivyo sio watumishi wote wa Umma hawapati hicho kiinua mgongo cha million 178, wapo wanaopata
 
Niliwahi kuwa na uhusiano na mmoja alikuwa pale Agakhan. Nyodo nyingi na amri za kutosha yeye ndio anajua maisha. Siku akiwa off anataka mshinde ndani umnyandue tu hadi unaishiwa nguvu.
 
Ogopa sana mtu ambaye amezoea Kila siku kuona watu wakikata roho mbele yake.

Mtu kama huyo ukimzingua achelewi kukuwekea pollium 201 kwenye chai unakuja kufa baada ya miezi minne, na kwa kipindi chochote hicho Cha miezi minne anakuwa anakujali kupita maelezo yaani.
 
Sisi Wakulima hatutegemei Kikokotoo Mkuu, hapa nilipo nina ekari za kutosha za miti ambayo nikivuna sikosi milioni 200 zangu

Hata hivyo sio watumishi wote wa Umma hawapati hicho kiinua mgongo cha million 178, wapo wanaopata
Kunae mmoja alipata mil. 300 watu wanajiropokea tu
 
Mzaramo awe MD!? Hao kazi yao kubwa sana ualimu na hapo ubahatishe kwa mmoja mmoja

Wanawake wa Pwani wao kusoma ni kumkufuru Allah lakin kugawa uroda kwa watu ni sunnah
Kama ulikuwepo vile, fani za watu wenye akili darasani mfano udaktari, uinjinia, au kombi za PCM na PCB, utakuta ni mikoa ya Kanda ya ziwa (kasoro wahaya, wao ni masomo ya arts), wazaramu na watu wa Tanga, Lindi na Mtwara, wakitoboa sana labda form four, tena hapo watapata division four au ziro kabisa.
 
Jiandae kugomgewa na wafanyakazi wenzake,wagonjwa wanaoenda kupata huduma sehemu husika na ujue kazi yake itatumika kama excuse atakapokua anachapwa,maana atakwambia NILIKUA NA MGONJWA,NAENDA SHIFT,na michepuko yake itampigia simu muda wowote na kumwambia kuna dharura hospitalini,njoo haraka kumbe anaenda kudinywa.
Namuonea huruma sana mtu anayeoa askari,mfanyakazi wa tanesco,kiwandani na kwenye makampuni.Atachapiwa hadi basi,inshort hatafaidi mapenzi.
 
Jiandae kugomgewa na wafanyakazi wenzake,wagonjwa wanaoenda kupata huduma sehemu husika na ujue kazi yake itatumika kama excuse atakapokua anachapwa,maana atakwambia NILIKUA NA MGONJWA,NAENDA SHIFT,na michepuko yake itampigia simu muda wowote na kumwambia kuna dharura hospitalini,njoo haraka kumbe anaenda kudinywa.
Namuonea huruma sana mtu anayeoa askari,mfanyakazi wa tanesco,kiwandani na kwenye makampuni.Atachapiwa hadi basi,inshort hatafaidi mapenzi.
Mfanyakazi wa tanesco ana shida gani?
 
Mimi wakati natafuta mke miongoni mwa vigezo ilikua asiwe na kazi inayomfanya awe na shift ya usiku. Hapana

Acha mimi nizurure usiku, mwanamke nenda kazini mchana urudi kuangalia watoto
 
Back
Top Bottom