Ambao wameoa mwanamke daktari naomba kujua raha na karaha

Habari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD).

Karibuni
No general formula. Mke ni tabia wala sio kazi yake. We katoe Posa, umuoe Daktari wetu mpendwa.
Faida ni huduma za matibabu na Ushauri wa kitabibu. Karaha ni Kumkosa anapokuwa zamu usiku au on call.
 
hapa kugegedewa nje nje alafu sasa ole wako umzingue mwenzio ana acces ya madawa ya kukurestisha in peace mapema tuu
 
Yeah na huo ndo ukweli,watu wa hii mikoa ya pwani kiukweli bila hiyana ndio mikoa inayofuga watu wajinga sana kupindukia na ata kwenye utafutaji wa mali wao wapo nyuma sana

Na hapa ndio kuna Wafuasi wengi wa CCM kuliko sehemu yoyote ile ndani ya nchi hii
 
Mambo ya kuagwa night shift wengne hatuwezi.. night shift anaenda kuliwa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…