Amber-Rutty anaomba msaada, amepata ajali

Amber-Rutty anaomba msaada, amepata ajali

Ni kwa sababu tu watu wasio maarufu wakipata matatizo hutajua. Unaweza kupata matatizo wewe na huyo Uwoya akaishi mpaka 90s akafa kiulaini kwa uzee. Acha mawazo ya kipuuzi.
Kwahiyo kwa kifupi, kila mtu ashinde mechi zake.
 
Hii mada kwann ipo uku si iende kule jukwaa la burudani maana uyo ni mburudishaji ujue

Hlf hawa ni wasanii hawaeleweki usikute mwenzio apo anaandaa movie yake mpya
 
Lakini ukitaka ukweli, Amberluti hakua maarufu kivile sema ni ile video. Kua maarufu haimaanishi ndo yuko na hela
Ana picha kibao za ngono ukiingia mitandao ya ngono anatiana huyo kwani hivi halipwi pesa huyo??!!
 
Nilianza hii siredi na huyo mpumbavu mtoa mada aliyeleta hii kwa kejeli
Badala ya kuacha ombi lijadiliwe, akaanza kutukana wachangiaji
Tukampoteza na ban ya muda mrefu
 
Lakini ukitaka ukweli, Amberluti hakua maarufu kivile sema ni ile video. Kua maarufu haimaanishi ndo yuko na hela
Ni kweli kabisa mimi binafsi sikua namjua kabla ya ile connection na hata baada ya wimbi la ile connection kupita sina taarifa zake kabisa, ypte kwa yote sidhani kama ni dada mwenye uwezo mkubwa au ashawahi kuleta show-offs za kujifanya anaishi kifahari kwaiyo kuomba msaada na kuchangiwa wala sioni kama kuna ubaya
 
Hawa wapuuzi si huwa wakihojiwa,hapo umevaa sh ngapi,mara mil 5,sijui mil ngapi......sasa si hela wanazo?
 
Back
Top Bottom