Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Mimi ni mmoja ya watu ambao siwezi shirikisha mtu jambo nalopitia isipokua naingia church nakusali Mungu pekee aniepushe katka fikra mbofu mbofu niliachatu maana maji yalifika shingoni mwisho nikaona ntakuja kuua bure iishie jera
Ila kwel kibongo bongo ukishirikisha watu ni kama umejimaliza kabisa kisaikolojia, ninae ndugu yangu anapitia changamoto za hizi ndoa , yule jamaa asipo kuwa makini tunamlia pilau soon.
 
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Hamis Kulwa (35), mkazi wa Kata ya Uyogo wilayani Urambo kwa tuhuma za kumchinja mke wake mjamzito, kumpasua tumbo kisha kutoa watoto pacha.

Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Richard Abwao amesema tukio hilo limefanyika Januari 30 mwaka huu saa 11 jioni likihusishwa na imani za kishirikina.

Kamanda Abwa amesema baada ya mtuhumiwa kumpasua mke wake, alitoa watoto pacha kisha kumpika mmoja huku mwingine pamoja na mwanaye mwingine aliyekuwa na miaka miwili, akiwazika.

“Wakati wa mahojiano alidai kuwa aliambiwa kuna watu wametumwa kumchukua mkewe na watoto, wanawapeleka Gambushi [eneo lililoko mkoani Simiyu linaloamika kwa nguvu za giza] kufanya kazi za kichawi usiku na siku si nyingi wangewachukua na kuwaua, ndio maana akaamua awaue yeye mwenyewe,” amesema Kamanda.

Source - SwahiliTimes
Watu wa aina hii ndiyo wanasababisha CCM kuendelea kututawala miaka nenda. No brain at all.
 
Ila kwel kibongo bongo ukishirikisha watu ni kama umejimaliza kabisa kisaikolojia, ninae ndugu yangu anapitia changamoto za hizi ndoa , yule jamaa asipo kuwa makini tunamlia pilau soon.
Mapatie ushauri wa bure chief
 
Eeeeh Mungu wangu ninavyotamani mapacha nimehisi kulia!
Hata hivyo magonjwa ya akili ni tishio, tuache fikra za ushirikina pekee.
Mapacha utawaweza shoga??ulishawai kukaa mwaka mzima hulali ?? Hata hujui unaishi vipi .Muombe Mungu akupe unachostahili mwee

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
 
Tunaposema Magharibi na Kanda ya ziwa watu wake ni 'primitive' au bado hawajastaarabika muwe mnatuelewa.

Huu ukanda una watu wa hovyo sijawahi kuona.

Umetumia nini kufikia conclusion hii? Maana Kama Una ubongo unaoruhusu akili ifanye kazi kwa style hii sidhani kama ni mzima.

Unaelewa hata maana ya Primitive?
 
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Hamis Kulwa (35), mkazi wa Kata ya Uyogo wilayani Urambo kwa tuhuma za kumchinja mke wake mjamzito, kumpasua tumbo kisha kutoa watoto pacha.

Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Richard Abwao amesema tukio hilo limefanyika Januari 30 mwaka huu saa 11 jioni likihusishwa na imani za kishirikina.

Kamanda Abwa amesema baada ya mtuhumiwa kumpasua mke wake, alitoa watoto pacha kisha kumpika mmoja huku mwingine pamoja na mwanaye mwingine aliyekuwa na miaka miwili, akiwazika.

“Wakati wa mahojiano alidai kuwa aliambiwa kuna watu wametumwa kumchukua mkewe na watoto, wanawapeleka Gambushi [eneo lililoko mkoani Simiyu linaloamika kwa nguvu za giza] kufanya kazi za kichawi usiku na siku si nyingi wangewachukua na kuwaua, ndio maana akaamua awaue yeye mwenyewe,” amesema Kamanda.

Source - SwahiliTimes
Huyu amerukwa na akili au ni kichaa aliyerukwa na akili, sababu wenye tupu huwa hawapo hivi.
 
bora wenzetu wa pwani.
watu wa bara tuna mambo ya kifala sana. kuua tunaona ni kitu cha kawaida kawaisa


Kwamba watu wa pwani hawajui kuua? Umeishi Pwani ipi? Tanga? Mtwara? Bagamoyo? Dar es salaam?

Kuua sio lazima kuchinja. Tafuta uhalisia wa hao watu wa Pwani.
 
Tunaposema Magharibi na Kanda ya ziwa watu wake ni 'primitive' au bado hawajastaarabika muwe mnatuelewa.

Huu ukanda una watu wa hovyo sijawahi kuona.
Taratibu bro! Acha kuhukumu watu wote,kwa, kosa, LA mtu mmoja,
Sio kila mjerumani ni Adolf Hitler, wapo wenye akili nzuri saaana, wanatengeneza Benz, mtu, Daimler,
Kanda ya ziwa, katoka, Nyerere, sir George kahama, nk,
 
Watu kama hawa wala hakukuwa na haja ya kuhangaika nao sijui kupima akili, huyu wa kufukia akiwa hai watu waendelee na majukumu mengine muhimu.


No wonder tuko hapa. Tunavukaje kwa watu wenye ubongo unaofikiri hivi?

Unafukia lunatic? Sasa wewe na yeye mtakua na tofauti gani?
 
Back
Top Bottom