Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Sijasoma palipondikwa walikuwa na matatizo ya kindoa, mhusika hata angekuwa bachelor anaishi na ndugu yawezekana angewafanya hivi hivi sababu inaonekana anasumbuliwa na “Sauti” sijui kitaalamu changamoto yake ya afya ya akili inaitwaje.
😁😁 we jua tu ni ndoa hiyo
 
Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Richard Abwao amesema tukio hilo limefanyika Januari 30 mwaka huu saa 11 jioni likihusishwa na imani za kishirikina.

Kamanda Abwa amesema baada ya mtuhumiwa kumpasua mke wake, alitoa watoto pacha kisha kumpika mmoja huku mwingine pamoja na mwanaye mwingine aliyekuwa na miaka miwili, akiwazika.
Huyo aunganishwe na mganga wake kwenye hiyo case
 
Back
Top Bottom