Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Pia wanawake kuweni makini, yaani kabla ya tukio baya kwakuwa mtu unaishi nae ni lazima unamjua in and out Kuna viashiria utavijua tu siku chache kabla au masaa machache kabla. Unaweza kuchukua tahadhari.


Kweli lakini kuna maradhi ya akili mengine huwa yanalipuka ndani ya masaa kadhaa na mengi yanahitaji ufahamu kuweza kuyatambua angalau dalilli zake.

Ila pia victims wengi hujikuta ndani ya 18 mbaya kwa kujitakia (kudharau ama kupuuzia dalili mbaya na kujipa moyo yatapita!)


Jamii inahitaji elimu ya muongozo wa maisha ya kila siku kwa sababu kasi ya mabadiliko inayoikumba jamii ni kubwa sana. Many will be lost in the “transition.
 
Kabisa!

Muongo huyu huwezi kuua kirahisi hivyo...aeleze vizuri mchawi Ni yeye mwenyewe..
 
Hivi mkoa wa Tabora upo kanda ipi??? Kanda ya ziwa? Au kanda ya kati? Au kanda ya Magharibi?
 
Watu wa kwenye ndoa hao , ndoa ,ndoa ndoa tatzo kubwa.
Sijasoma palipondikwa walikuwa na matatizo ya kindoa, mhusika hata angekuwa bachelor anaishi na ndugu yawezekana angewafanya hivi hivi sababu inaonekana anasumbuliwa na “Sauti” sijui kitaalamu changamoto yake ya afya ya akili inaitwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…