Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

Sijasoma palipondikwa walikuwa na matatizo ya kindoa, mhusika hata angekuwa bachelor anaishi na ndugu yawezekana angewafanya hivi hivi sababu inaonekana anasumbuliwa na “Sauti” sijui kitaalamu changamoto yake ya afya ya akili inaitwaje.
😁😁 we jua tu ni ndoa hiyo
 
Huyo aunganishwe na mganga wake kwenye hiyo case
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…