Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Ana mindset nzuri lakini haimfai kila mtuNapenda sana mindset yako mkuu, always +ve minded [emoji122][emoji122]
Ni kwa tabaka fulani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mindset nzuri lakini haimfai kila mtuNapenda sana mindset yako mkuu, always +ve minded [emoji122][emoji122]
Fungua DM yako niku inbox basi; umefunga kila kitu, fungua tuyajenge madameNi wa kubangaiza tu, akipata milioni 20 au 30 ananunua vifaa kazi inaendelea, hela ikikata anarudi kupiga mzigo.
Fact! Mimi Mwenyewe nimekumbuka kujenga baada ya kuanza kulipa kodi kubwa, awali wakati nalipa kodi ya laki na sitini kwa mwezi nilikuwa hata siwazi kujenga, lkni baada ya mahitaji ya familia kuongezeka nikagundua kodi ni moja ya kitu muhumu sana kukiondoa kwenye running cost zangu.Kuna wanaojenga kwasababu wanalipa kodi ya pango kubwa sana, binamu yangu alijenga nyumba mara baada ya kuanza kazi baada ya kuishi kwa ndugu kwa manyanyaso. Ukiwa kwenye comfort zone si rahisi kuwaza kujenga.
540k nyingi sana, ukithubutu unaweza.Sasa MTU anaeweza kumake 20m to 30ml ni wakawaida?
Mm salary 540k hiv unahisi nyumb kam hiyo itanichukua miaka 230 kukamilika
Ujumbe wako ni kuwa jamaa ana kipato cha kawaida???🤣🤣🤣View attachment 2102885
Ni apartments
Sky eclat namuonaga mtu makini lakini kwa hili ameamua kuleta utani.stories hizo, hapo jamaa hela anazo sio kawaida
Wapange tu wenzako, eti mbogamboga[emoji28].Mmoja aliniambia biashara yake ni mboga mboga, amejenga green house na analima hizi mboga zinazoliwa kila siku, mfano nyanya, carrots, hoho. Kila siku anapeleka mzigo wa laki nne sokoni.
Unajuaje kama atastaafu?? Maisha yenyewe ndo hayahaya.Kwa mshahara huu, unachukua mkopo kununua kiwanja, unajenga banda ili kulinda kiwanja. Nyumba kubwa unajenga ukilipwa mafao ya kustaafu.
Laki tano kwa mwezi, hizo apartments ziko maeneo gani??Mtu anaejenga apartments mara nyingi ni kwa biashara na ana makazi yake ya kuishi. Huyu bwana amejenga apartments 12, akipangisha kwa laki tano kila moja ana milion 6 kwa mwezi. Akizitunza nyumba vizuri hii ni cash flow mpaka mauti yanamkuta.
Inakadiriwa thamani yake ni shilingi ngapi za Kitanzania?View attachment 2102885
Ni apartments
Laki tano kwa mwezi, hizo apartments ziko maeneo gani??
Ukishaanza kuuliza maswali haya, huwa unaanza kutukanwa kwa sababu utaanza kuuona uhalisia ambao si kitu maarufu humu.Inakadiriwa thamani yake ni shilingi ngapi za Kitanzania?
Sasa mkuu kodi ya 500K kwa mwezi tena ni apartment, mmh lazima niulizie location ya huo mjengo.Ukishaanza kuuliza maswali haya, huwa unaanza kutukanwa kwa sababu utaanza kuuona uhalisia ambao si kitu maarufu humu.
Sky Eclat Happy New year dadaView attachment 2120098
Happy New to you to kakaSky Eclat Happy New year dadaView attachment 2120098
Haya mawazo na mtazamo ni ya mtu above 30s chini ya hapo kuwaza hivi itokee tu neema ya MuumbaUjenzi ni njia ya kuhifadhi au kugeuza liquid asset into solid asset. Ukiwa kijana una nguvu ni rahisi kupata liquid asset, hatari yake inaweza kumwagika muda wowote.
Ukijenga solid asset itakutunza kwa muda mrefu.
mkuu tafuta ELA kwa HALALI na bidii zaidiMji wetu wa kudumu uko mbinguni au kaburini au jehanamu.
Umasikini tu ndugu ni mbaya sanaPesa ya jengo huwa hairudi mpaka unakufa; labda iwe lodge au hotel na hii pesa yake itarudi iwapo usimamizi utakuwa makini sana.
Nyumba ninazo, naongea kutokana na uzoefuUmasikini tu ndugu ni mbaya sana
ninakuombea mkuu upate pesa ujenge JUMBA la ukweli uachane na mawazo mabaya