Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Hii sio sahihi. Mtu anakufadhili. Ukifanikiwa ukaondoka yanakuwa mafanikio. Anakukisha, unalala, si ajabu anakupa na nauli. Mwisho wa siku manyanyaso.Kuna wanaojenga kwasababu wanalipa kodi ya pango kubwa sana, binamu yangu alijenga nyumba mara baada ya kuanza kazi baada ya kuishi kwa ndugu kwa manyanyaso. Ukiwa kwenye comfort zone si rahisi kuwaza kujenga.