Ameniomba hela ya chai; nimemrushia buku na 200 ya kutolea amekasirika!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaaa....

Elon musk embu afanye awezalo hyo midoli roboti ifike afrika Kwa bei ya chini kbs maana c Kwa chuma ulete hzi za kikeee .
 
Mwamba huyu hapa [emoji81]
 
, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.

?!!!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukalipia Bei Elekezi kizalendo Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…