Ameniomba hela ya chai; nimemrushia buku na 200 ya kutolea amekasirika!

Utakufa na upwilu wako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Niliwahi kumtumia mtu dola 5 aisee zikarudishwa. Niliumia sana kwa sababu nilikuwa nimejitutumua sana. Halafu pisi ikanichana kuwa ni afadhali tu nikupe bure kuliko unipe dola 5 kama zawadi...na kweli niliishia kupewa bure japo baadaye ilikuja kunicost sana baada ya kunogewa. Wanawake wana mbinu nyingi sana!
 
Ilkua pisi ya kizungu au Hawa kina mwajuma ndala ndefu[emoji28]
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…