[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada amekula chuma hichoo.
Maandazi Saba mengi Sana aisee[emoji1787]Kama amezingua basi ungerudisha huo muamala ili hata hiyo chai na maandazi saba asipate...[emoji12]
Utakufa na upwilu wako πππSalaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
Kuna nini tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukalipia Bei Elekezi kizalendo Kabisa
Hatari sana na Namba akawa anahakiki kabsa ili asikosee ikaenda kwa mwingne ππJamaa simpatii picha alivokua serious kutuma buku[emoji1]
Hi dunia Kuna watu wamepinda kabisa[emoji1]Hatari sana na Namba akawa anahakiki kabsa ili asikosee ikaenda kwa mwingne [emoji16][emoji23]
Ilkua pisi ya kizungu au Hawa kina mwajuma ndala ndefu[emoji28]Niliwahi kumtumia mtu dola 5 aisee zikarudishwa. Niliumia sana kwa sababu nilikuwa nimejitutumua sana. Halafu pisi ikanichana kuwa ni afadhali tu nikupe bure kuliko unipe dola 5 kama zawadi...na kweli niliishia kupewa bure japo baadaye ilikuja kunicost sana baada ya kunogewa. Wanawake wana mbinu nyingi sana!
Melissa. Baba mweusi mama Muitalia...umbo la Kibantu (dizaini hii)...Ujana una mambo aisee πIlkua pisi ya kizungu au Hawa kina mwajuma ndala ndefu[emoji28]
aya bhanaππSikuwa na jinsi, niliendana na uhalisia.
yani hapo na ya kutolea ametuma aisee ππππYaaani nimepata hasira kudadadeq
huu ni ubahiri sio uchumi wakati ππππuchumi wa kati wa chini .
What a poor English I have read in this early Juneπ₯π₯Shule zimefungwa leo. I don't this is something to write home
π€£π€£π€£π€£π€£Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!