MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hiyo sentensi ya kiingereza imekuharibia heshima kidogo uliyokuwa nayo.
mbona naona wengi wenu mnamsifiaππππ€£π€£π€£Mwenetu kazingua bn buku ndogo sana
Ingekuwa mimi hata hiyo tshs 1200 asingepata, ningemwambia iyo hela aje kuichukua ghetto..Balqior hili suala kwa upande wako unalizungumziaje Mpaji Mungu Sema chochote basi
Kwani huyo si ni mpenz wake jamani auππIngekuwa mimi hata hiyo tshs 1200 asingepata, ningemwambia iyo hela aje kuichukua ghetto..
Wanaume tunapenda kuwapa hela wanawake tulio nao kwenye mahusiano, ila naona kama sahivi, baadhi ya wanaume wanaanza kujua tofauti kati ya kuhudumia na kutapeliwa Leejay49
Alieleta mada hakutuma buku kama anavotanabaisha bas tu Kaamua changamotombona naona wengi wenu mnamsifiaπππ
Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini ha tafadhali nitumie namba yake mkuu
[emoji1787][emoji1787]huu ni ubahiri sio uchumi wakati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Useless boyfriend atakaa single hadi akomeyani hapo na ya kutolea ametuma aisee ππππ
Zingatia kwamba taarifa za kiintelijensia zimehusika ππbuku na 200 ya kutolea π sawa lakini,Amehlo
Kamma Dr. Mariposa kalipitisha bas wengine hamna sababu ya kuleta objectionsUmejua kunivunja mbavu lakini upo sahihi sijui kwanini bibie amekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Anataka chai ya elf 5Umejua kunivunja mbavu lakini upo sahihi sijui kwanini bibie amekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mdoli haukati mauno usipou chaji..Ndio nyie mnashabikia midoli ya elon