Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Vijana mnapenda sana kulalamika sasa hiyo 3M ndio unakuja kujiliza huku?
Unataka upewe mke bure? Hebu fikiria utapata wapi uhalali wa kumnyandua mkeo ikiwa hujatoa hata mahari na kutambulika kwao??
Kama vijana huna pesa za mahari nenda kaongee na wazee wa binti watakupa muda wa kutafuta pesa za mahari.
Tatizo kubwa la vijana wa nyakati hizi mnapenda sana Kitonga mtakuja kugeuzwa wake mshangae macho yenu.
 
Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Kama hamna hela au hauna hela ya kulipa muacheni Binti wa watu, fuateni taratibu zinazotakiwa na ninampingeza huyo Binti kwa msimamo mwenye Nia nae atafuata taratibu zote KINYUME na hapo subiri ndoa ya uji kabla ya Ramadan
Ndoa sio hela kama mnasisitiza hela kwanza sidhani kama kuna ndoa hapo
 
Kaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Atakuwa ni kichaa huyo kama si kurogwa, siwezi kununua mtu mimi.

Mahari haina faida yoyote chini ya jua, iwepo isiwepo haiongezi wala kupunguza chochote kwa wanandoa na familia yao.

Huo ujinga anauweza kaka ako pekeake
 
Vijana mnapenda sana kulalamika sasa hiyo 3M ndio unakuja kujiliza huku?
Unataka upewe mke bure? Hebu fikiria utapata wapi uhalali wa kumnyandua mkeo ikiwa hujatoa hata mahari na kutambulika kwao??
Kama vijana huna pesa za mahari nenda kaongee na wazee wa binti watakupa muda wa kutafuta pesa za mahari.
Tatizo kubwa la vijana wa nyakati hizi mnapenda sana Kitonga mtakuja kugeuzwa wake mshangae macho yenu.
Mahari ni utaratibu uliopitwa na wakati, mahari ni biashara kama biashara zingine haina manufaa yoyote kwa wanandoa.

Mahari itolewe isitolewe haiwezi kuongeza wala kupunguza chochote kwenye ndoa.

Endeleeni kuwauza watoto wakike kwa uhuni unaoitwa mahari
 
Kuna wakati unataka kununua bidhaa ila bei ya bidhaa hailingani na ubora wa bidhaa.
Flash drive 2GB, bei ni 60,000. Hata kama wewe ndiyo Biligate utanunua?
Sasa rafiki kwa nini uchague bidhaa ya hovyo na bei ipo juu? Si uchague bidhaa ambayo itaendana na mfuko wako na uridhike nayo vinginevyo si unaacha mbona rahisi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? 😂😂 Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi

Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano

Kama hutaki si umuache mtoto wa watu, mbona unajithaminisha sana? Hiyo thaman yako haoni, ofcourse sasa hivi ukioa mtu anayejielewa mahari 3m ni kawaida.

Kuna ubaya gani mtu kutaka kuoleaa kwa utaratibu? Shida ipo wapi sasa we ndugu? Kwa nini asipate heshima yake?

Mimi nakuona unafikiri kwamba unamfanyia favor huyo mwanamks kumuoa, na hii ni dalili mbaya maana hata aliwa ndani utajiona wewe una thamani zaidi.
 
Huyo mwanaume kama anampenda mwanamke wake kweli kinachomkwamisha kufuata taratibu ni kitu gani? Anataka ajibebee tu ameambiwa ni nyanya hizo? Aache janja janja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? [emoji23][emoji23] Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Wanaume waoaji wapo bwana na hawana kona kona kama huyo jamaa yako ama sijui ni wewe mwenyewe. Kiufupi Hakuna muoaji hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa ni kichaa huyo kama si kurogwa, siwezi kununua mtu mimi.

Mahari haina faida yoyote chini ya jua, iwepo isiwepo haiongezi wala kupunguza chochote kwa wanandoa na familia yao.

Huo ujinga anauweza kaka ako pekeake
Hakuna sehemu nimetukana,
Unaweza kuchangia mada bila kutukana na ukaeleweka,

Vitu vingine kama sio ligi yako na hauna exposure it's better to keep quiet.

Kwa uandishi huo ni dhahiri wewe ni kichaa hata katika uhalisia wa maisha yako.
Kenge wewe
 
Usikute huyo binti havutiwi na huyo mme . Kama tofauti ya umri ni kubwa nacho ni kikwazo kwake

Mwanamke akikupenda haswaa vikwazo ni vichache ingawa kufuata taratibu ni suala la msingi na sio vikwazo
 
Muoaji afuate utaratibu unaopaswa hata kwenye Biblia Jacob alifanya kazi kwa Laban miaka 7 Ili ampate Rachel, vijana wa siku hizi mnarahisisha Kila kitu kina protocol na baraka zake kutoka kwa wazazi.
Mwanaume aliependa ashindwi jambo .
Mahari is not really about pesa 100%, it's about spiritual matters, Mungu aliagiza mume atoe mahari, ili mume awe na uwezo wa kutengeneza generation mpya isiyo na vifungo vya giza na mkewe, kibiblia mahari anapanga mzazi, au mtu mwenyewe Anaeoa apendavyo, na anavyoweza kutoa.

Ninavyoona huyu binti kama anamwekea vikwazo huyu mwanaume, kwasababu hajampenda huyu mwanaume, huyu mwanaume hata akitekeleza hizo requirement za binti, nahisi huyo mdada atamsumbua mumewe ndoani amadala
 
Hakuna sehemu nimetukana,
Unaweza kuchangia mada bila kutukana na ukaeleweka,

Vitu vingine kama sio ligi yako na hauna exposure it's better to keep quiet.

Kwa uandishi huo ni dhahiri wewe ni kichaa hata katika uhalisia wa maisha yako.
Kenge wewe
Kataa mahari ni utumwa.
 
Huyo mwanaume kama anampenda mwanamke wake kweli kinachomkwamisha kufuata taratibu ni kitu gani? Anataka ajibebee tu ameambiwa ni nyanya hizo? Aache janja janja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ume nunuliwa kwa shilling ngapi ? Au biashara ya kuuzwa kwako bado haija fanyika ?
 
Hakuna sehemu nimetukana,
Unaweza kuchangia mada bila kutukana na ukaeleweka,

Vitu vingine kama sio ligi yako na hauna exposure it's better to keep quiet.

Kwa uandishi huo ni dhahiri wewe ni kichaa hata katika uhalisia wa maisha yako.
Kenge wewe
Nawe ume nunuliwa tayari kama wenzako au bado ?
 
Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti

Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri, mara eti anahitaji aolewe kihalali, ifanyike harusi, mwanaume akajitambulishe ukweni akiwa na kitenge cha mama. Kwa tetesi ninazozisikia ni kuwa ili mtoto aolewe inatakiwa mahali ya Tsh. Milioni tatu 😂😂😂😂

Yaani unapata mwanaume wa kukuoa zama hizi unaleta maringo! Zama za vijana wa kataa ndoa!!? 😂😂 Tena mtu amejijenga vya kutosha! Ee Mola tunusuru, dunia ina vioja vya kila namna

Enyi wanawake wa nchi hii, jaribuni kukua kifikra. Ndoa si maembe mabichi kama ilivyokuwa zamani, kama kweli anania ya kujilipua kwenye hili janga la maumivu, mpe nafasi hiyo mara moja. Ndoa ni bahati siku hizi

Mwenzenu anajikita malaika huku. Tunasubiri aikanyage vyema miaka 30's aende kukanyaga mafuta, afie huko huko kwa msongamano
Kwa Dar ukitaka ukumbi wa sherehe namaanisha harusi ni lazima ufanye booking miezi mitatu kabla, kambi ziko full booked, labda uko kijijini kwenu ndio wanawake hawaolewi.

Hapo kuna kina Dida ana ndoa 4 mpaka Sasa.
 
Abeeeeee at ndoa ni bahati? So Manara hana bahati ya ndoa? Na hawa wanao achana kila siku vip?

Enewe ayamu riding ze komentis.
Mwanamke ana chukulia serious sana suala la ndoa na harusi ndio maana kwake huonekana kuwa ni suala la bahati lakini kwa upande wa mwanaume haipo hivyo.
 
Mama yako mzazi alinunuliwa kwa shilling ngapi?
Huu upumbavu wa kununua wanawake kwa kigezo cha mahari mama yangu na mzee wangu wali upiga vita wakati wa ujana wao, hawa kushiriki hii biashara ya utumwa.

Na huu ndio msimamo wa familia yetu hatu uzi mtu.

Wajinga pekee ndio wana endeleza hii biashara hasa hasa hili bara la watu wajinga.
 
Back
Top Bottom