Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Kwahiyo ulianza kuzaliwa wewe ndio ukawazaa baba yako na mama yako ukawashuhudia wakitaka kuowana na wakipinga mahari au siyo?

JF imejaa vijana wapumbavu wengi sana siku hizi.
 
Kwahiyo ulianza kuzaliwa wewe ndio ukawazaa baba yako na mama yako ukawashuhudia wakitaka kuowana na wakipinga mahari au siyo?

JF imejaa vijana wapumbavu wengi sana siku hizi.
Mimi nakuelezea hali halisi ya familia yetu mpaka sasa ipoje unanilitea habari za kuzaliwa.

Familia yetu haiuzi mwanamke kwa kuwa hata wazee wetu hawa kununuana huu ndio utaratibu wa familia.

Watu wajinga pekee ndio huuzana kama mafungu ya nyanya sokoni.
 
Umenena
 
Mahari ina uhusiano na thamani ya mwanamke, moja ya sababu ya kulipa pesa kubwa ilibidi kwamba mwanamke hajawi kuwa kwenye mikono ya mwanaume mwingine, kuna jamaa anasema "women are just like an empty vessel, waiting for someone else to install programming" hauwezi kutoa pesa nyingi afu bado uje kupewa kero na mitazamo ya wanaume wake wa nyuma. So Brother km ana hiyo thamani mpe pesa na kama hana mwambie achukue hiyo laki ngapi, vinginevyo asubiri mshamba ampige.
 
Atajutia siku ikifika
 
Kulalamika huku unajiondoa kwenye kundi la wanaume.

Pambania unachokitaka. Hakuna kitu automatic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…