Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #41
Amos anaenda kutupaka kinyesi watanzania wenzake ππ ni aibu kubwa mtanzania kufunzwa usafi na mnyarwanda, mkenya, mrundi nk.Huyu namjua sana, ni wale wale, Dar inataka mtu anayethamini taratibu na sheria zilizopo, Sio Hawa wapiga Domo!! Namaanisha, taratibu na sheria!!! Kuna mtu kama Heri James alikuwa anashindana na viongozi wake kuvunja sheria na taratibu ili TU tumbo lake lishibe
amewadhalilisha vipi wakati ukweli ni kuwa nyie ni wachafu, machinga wa nchi ni wachafu utafikiri siyo binadamu. wasiwasi wangu ni kuwa watafundishika kweli?Kama ni hivyo hapakuwa sababu ya kwenda mbali kuchoma kodi zetu. Angewapeleka Moshi wakajifunze afu baada ya wiki warudi wakiwa vizuri kichwani.
Hii ni aibu tunabebeshwa Kwa lazimaAmos anaenda kutupaka kinyesi watanzania wenzake ππ ni aibu kubwa mtanzania kufunzwa usafi na mnyarwanda, mkenya, mrundi nk.
Imegine mtu kama Makalla akafunzwe namna ya kuoga na Kagame.Yote hii ni conflict of interest, Sasa Hawa mameya na Matumbo Yao wanasimamia nini kama RC ndio anajipa ziara ya kuzurura!? Eti kukagua usafi Kigali, my country
Dah nina jamaa zangu wanyarwanda nikikutana nao sijui sura yangu nitaificha wapi.Hii ni aibu tunabebeshwa Kwa lazima
Kuna jamaa mmoja wa kitengo aliwahi kuniambia kuwa 'usalama wa nchi unapatikana pia kupitia katika matukio fulani ambayo mwananchi ataona ni ya kawaida na ya kijinga kwelikweli na serikali huwa inafanya makusudi hivyo'.Kama ni haya unayohisi basi na iwe hivyo. Lakini kama ni ku stick kwenye hii point ya thread basi amechemsha.
Swala la machinga nakubaliana na wewe. Ila la team kwa kweli abaki huko huko Simba. Yanga haiwezi kuwa na mtu wa aina yake.Huyo "Sakala" hana alijualo zaidi ya kusumbuana na machinga. Mjinga sana huyo jamaa. Nasikitika sana Simba kuwa na shabiki mjinga kama Sakalla.
Ya kwa namna fulan nimekuelewa mkuuKuna jamaa mmoja wa kitengo aliwahi kuniambia kuwa 'usalama wa nchi unapatikana pia kupitia katika matukio fulani ambayo mwananchi ataona ni ya kawaida na ya kijinga kwelikweli,......na serikali huwa inafanya makusudi hivyo'. Tangu hapo mi huwa sichukulii poa mambo haya, wanawaza mbali na kujua zaidi ya tunavyojua.
Wahuni wa msoga, huyo ni chawa wao.Amosi Makalla ni kiongozi mbovu ameshindwa kulisimajia jiji kabisa
Kweli kabisa mkuu. Ingemrahisishia na pia gharama zingekuwa ndogo mno."Angetoka tu dar akaenda mji wa moshi kujifunza hili"
πππUmemaliza na kufunga thread ya mtoa hoja.
Nguvu ya Jina kwenye maisha ya Mtu: Wanaoitwa majina ya Amos wengi wao hawajawahi kuwaga na akili ni wachache sana wanaokuwaga na majina hayo wanakuwa smart kichwani wengi ni wapuuzi puuzi kichwani, Nina wasiwasi na neno Makalla inawezekana maana yake sio nzuri pia..Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.
Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?
Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.
Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.
Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Herry James, poa sana mtu yule. Sio hawa akina "Sakalla" kukimbizana na machinga kila aendako. Utadhani ndio jukumu kuu la mkuu wa mkoa.Huyu namjua sana, ni wale wale, Dar inataka mtu anayethamini taratibu na sheria zilizopo, Sio Hawa wapiga Domo!! Namaanisha, taratibu na sheria!!! Kuna mtu kama Heri James alikuwa anashindana na viongozi wake kuvunja sheria na taratibu ili TU tumbo lake lishibe
Sio kila alie Dar ni mwana Dar es salaam. Kuna wengine wakuja, wamekuja na tabia zao za uchafu kutoka katika mikoa yao na kufanya mkoa mzima uonekane kuwa ni watu wa aina hiyo.Hilo la uchafu sishangai,
Si nyie mlishawahi kuzuiliwa kwenda mjini mpaka muoge eti mlikuwa mnanuka.....!
Basi Makala Yuko sahihi, kubalini kujifunza ili mbadilike.
Ni hayo tu.
Ya inawezekana mkuu.Nguvu ya Jina kwenye maisha ya Mtu: Wanaoitwa majina ya Amos wengi wao hawajawahi kuwaga na akili ni wachache sana wanaokuwaga na majina hayo wanakuwa smart kichwani wengi ni wapuuzi puuzi kichwani, Nina wasiwasi na neno Makalla inawezekana maana yake sio nzuri pia..