Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo mjue hii kesi ni maelekezo ya IkuluHapa ndipo unapojifariji, linda usomi wako uheshimiwe kwani sasa hivi hata watoto wako wanakudharau.
YOU WILL NEVER BE ANOTHER LAKHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mjue hii kesi ni maelekezo ya IkuluHapa ndipo unapojifariji, linda usomi wako uheshimiwe kwani sasa hivi hata watoto wako wanakudharau.
YOU WILL NEVER BE ANOTHER LAKHA.
Kesi inatajwa mara 1 kila baada ya miezi 6 kwa maelekezo ya IkuluHili bumunda halina akili kweli, kesi ya covid 19 iko Mahakamani alitaka Mbowe afanye nini juu ya mahakama? Na kuhusu Lissu , ni kuwa Lissu alimtuhumu Abdul na mama yake kuwa ndiyo wanapenyeza hela chafu kuivuruga Chadema, sasa Mbowe anaingiaje kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Mama Abdul?
CCM wengi hawana akili timamu kama MakalaThink tank ya CCM, huyu hana Idea zingine,
Uchawi, rushwa na kujuanaHuyuu jamaaa alipataje pataje hiko cheo kweli uchawi upoo.
Huyuu jamaaa alipataje pataje hiko cheo kweli uchawi upoo.
Sifa anazo hata zinamwagika,jengeni nanyi sifa yenu,watu wenu na chama chenu.🤣Hapa ndipo mnapokosea wapeni wananchi habari ya mipango ijayo iliyofanyika pia iwacheni muwafafanulie watu sakata la mpina basi kumtaja mbowe ni kumpa sifa za kisiasa!
Chama kama chote-CCM hakina mvuto..Makala na Nchimbi wanahangaika sana,mkutano mmoja unachukua wiki nzima kuuandaa...Ndo maana Makala ameamua arudi mjini angalau...asikike...Logistics inasumbua sana huko Mikoani na Vijijini,kuhutubia mkutano zaidi ya mmoja kama wenzao wa CHADEMA imekuwa changamoto.....Uhutubie watu hapa,hao hao uwasombe kwenye maroli kwenda sehemu nyingine ukawahutubie,walewale tena uwahamishie pengine...imekuwa ngumu,wanachoka mpaka madereva wa malori walalamika,chakula nacho hawatoi....aisee CCM wapo hoi....Ajabu sasa adui anaonekana ni Mbowe...nadhani sababu ya mwitikio wa watu kwenye mikutano yake anayofanya mpaka 7 kwa siku moja.Natabiri mikutano ya CHADEMA kupigwa stop soon ili kuwa punguza kasi...Anafanya siasa outdated sana, na vile ukizingatia hana mvuto ndio hatari zaidi. Anajua akiitaja cdm na Mbowe ndio ataipa ccm mvuto!
Huyu guluguja Amos Makalla ukimuangalia alivyoumuka mashamvu kama anapuliza moto utajua tu kuwa kichwani hamna kitu, mpumbavu sanaAmos unazingua ujue ,usitufanye sisi MABUMUNDA kama wewe ,hao covid 19 unajua walivyoingia na walivyolindwa na awamu ya tano kuingia bungeni.
Yaan ukiwapata uongozi CCM na akili zinayeyukaKatibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.
Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”
Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea
..Chama kama chote-CCM hakina mvuto..Makala na Nchimbi wanahangaika sana,mkutano mmoja unachukua wiki nzima kuuandaa...Ndo maana Makala ameamua arudi mjini angalau...asikike...Logistics inasumbua sana huko Mikoani na Vijijini,kuhutubia mkutano zaidi ya mmoja kama wenzao wa CHADEMA imekuwa changamoto.....Uhutubie watu hapa,hao hao uwasombe kwenye maroli kwenda sehemu nyingine ukawahutubie,walewale tena uwahamishie pengine...imekuwa ngumu,wanachoka mpaka madereva wa malori walalamika,chakula nacho hawatoi....aisee CCM wapo hoi....Ajabu sasa adui anaonekana ni Mbowe...nadhani sababu ya mwitikio wa watu kwenye mikutano yake anayofanya mpaka 7 kwa siku moja.Natabiri mikutano ya CHADEMA kupigwa stop soon ili kuwa punguza kasi...
Jamaa sijamuelewa hivi Mbowe alikuwa anapambana nao kwa nguvu za mwili binafsi?Huyo makala anajua kesi ilipofikia?. Akina Halima Mdee wamekata Rufaa. Sasa alitaka Mbowe aingilie mahakama?. Mjinga mkubwa.
Anasahau Mwenyekiti wao Nyerere alikuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 25Kuna kabila, makala maana yake ni takataka. Ama kweli majina huumba.
hivi huyu ndio kila akiwa mkuu wa mkoa masoko yana ungua au subirini kuunguza ccm makao makuuKatibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.
Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”
Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea
Kesi gani tena wakati mahakama ilikwisha thibitisha kuwa si wanachama wa Chadema.Kesi inatajwa mara 1 kila baada ya miezi 6 kwa maelekezo ya Ikulu