mfanyakazfake
Member
- Feb 14, 2023
- 23
- 42
Kila zama na nyakati zake, ccm wasiendelee kuzarau watz siku moja watawaazibu hawataamini macho yao, siasa mchezo mchafu sanaCcm haitegemei kura kukaa madarakani, dhalimu Magufuli ameshapandikiza mbegu mbaya kwenye chaguzi zetu.
Hapi ndani... Lazima ukojoe dagaa mwaka huuChama kiko mikono salama, kimeshikwa na wanaokijua. Ilikuwa ni upuuzi Mzee Warioba kukaa vikao vya CCM na jitu lililompiga ngwala.
View attachment 2952974
Wazee wanaulizana "hivi kale ka bwana mdogo kameshaondoka kwenda Arusha?"
Sana mi nilikuwa namuelewa basi tuJamaa ana akili
Huwa natamani niujue umri wake…..!Sina hakika johnthebaptist kama ni mzima kichwani...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna aliwahi kufikiri Makonda atarudi uringoni?Ukitenguliwa piga kimya usijifanye mtu wa mafumbo kama muimba taarab
Ikilazimu kutokea hadharani PIGA pambio kidogo kwa mama kisha tulia muda ukifika utaendelea kula KEKI ya taifa swaaaafii
Huu uongo ulishachuja.Unaota unajisahaulisha ccm wana mbinu 1000 za kushinda mpaka sasa washatumiaga mbinu mbili tu
Hiyo nafasi apewe babu taleMWENEZI MPYA CCMView attachment 2953109
Inasikitisha kwasababu CCM ndio inatupa picha ya viongozi wa nchi yetu kwakuwa hatuna uhakika na chaguzi zetu.Ccm imekwisha kabisa imeoza haina watu wa maana
Usikate tamaa Kuna siku utawekewa vocha.Kimekuhusu wewe Nyumbu
Yaani hadi nimeona huruma kwa kweli!Joketi anaenda kupotea kwenye siasa,
Kama hamumkubali Papaa Amos Makala mutu ya watu, andamaneni kwenda ofisi zenu za chama. Ilikuwa ni lazima chama kurejeshwa katika mikono salama ya watoto wa mjini.Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kikazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong. Kila la heri
Amelima sana pilipili mwambaHapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
Amos siyo mtoto wa Mjini bwashee 😄Kama hamumkubali Papaa Amos Makala mutu ya watu, andamaneni kwenda ofisi zenu za chama. Ilikuwa ni lazima chama kurejeshwa katika mikono salama ya watoto wa mjini.
Hata mfanye nini; haitasaidia kitu.