Ila wizoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Amoss amekaa kizee sana. Hayuko CHARISMATIC.
Amepooza kama furushi la naniliii.
Sijui wamemtoa wapi huyu babu kizee, bora hata MAKONDA [emoji81][emoji81][emoji81]
Cc Lamomy Extrovert DR Mambo Jambo Namba Moja ajaye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui samia hanioniii!!!! Anaenda kuzoa mazee yaliyojichokeaa! [emoji85][emoji85]
wari iz thisssss!!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Natamani niwe mwenezi halafu uwe naibu mwenezi wangu.
Mawifi in da housee [emoji81][emoji81][emoji81][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ushamba wake ndo kashakua katibu Sasa we mjanja umeteuliwa kuwa naniYaani yuko very outdated, mshamba na hana jipya la kuwaeleza kizazi kipya. Kiukweli kabisa, ana mlima mkubwa wa kupanda kwenye utendaji kazi wake.
Namuagiza samia akuteue uwe mwenezi mwandamizi.Ila wizoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kizazi Cha Sasa kinataka katiba mpya, na sio sura ya mzee au kijana. Kwa bahati mbaya ccm sio chama Cha kizazi hiki, hivyo muweke kijana ama mzee, Bado wizi wa kura kwa mbeleko ya vyombo vya Dola ndio itakuwa tegemeo Lenu.Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
Nimesubiri mno hadi nimechunda wizoo, nimeliaa mnooo 😭😭🤣🤣🤣🤣 Soon mama atakuona wizo
Makonda anapenda Sana attentionUkiwa kwenye nchi ya watu wenye akili ndogo ni shida Sana, wanaamini uenezi ni kuropokaropoka tu. Huwezi kuwa na akili timamu ukashawishi watu eti Makonda alikuwa mtu sahihi. Yaan utembee na msafara wa magari zaidi ya 30 then ukikaribia eneo la tukio upande punda kujifanya mnyonge na wapumbavu wanasifu.
Hao watoto wa 2000 wamezoea kelele, majigambo, kutanua, vitisho, kujimwambafai bila kuangalia anayefanya hayo yote anatumia gharama kiasi ganiKwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
kwan akina j melody wanachotaka si hela, atawapa hela na watakata mauno majukwaani kama mabinti wa kizaramo, subiri utaonaMshamba tu wa zamani ambaye alipata fame kwa kuimbwa na band za mjini ila saivi ataongea nini na kina Jay Melody awatumie kwenye campaign..?? Obviously ni Nothing
Kama anayewateuaHuyu Amoss amekaa kizee sana. Hayuko CHARISMATIC.
Amepooza kama furushi la naniliii.
Sijui wamemtoa wapi huyu babu kizee, bora hata MAKONDA 😹😹😹
Cc Lamomy Extrovert DR Mambo Jambo Namba Moja ajaye
Huyu ndo mwenyeweHuyu Amoss amekaa kizee sana. Hayuko CHARISMATIC.
Amepooza kama furushi la naniliii.
Sijui wamemtoa wapi huyu babu kizee, bora hata MAKONDA 😹😹😹
Cc Lamomy Extrovert DR Mambo Jambo Namba Moja ajaye
Anza kupita mitaa ya lumumba wizo uonekane 🤣🤣🤣Nimesubiri mno hadi nimechunda wizoo, nimeliaa mnooo 😭😭
Majitu mazee yanaokotwa na kupewa ulaji halafu mie shangazi machachari naachwa solemba kwelii wizoo 😭😭😭
Pesa..saivi ataongea nini na kina Jay Melody awatumie kwenye campaign..?? Obviously ni Nothing
Skia wewe mshamba, pesa inakupa wafanya kazi ila haileti chemistry nzuri na wafanyakazi wako na bila chemistry, hautapata deliverance unayotaka kutoka kwa wafanyakazi.Pesa
Ona huyu mshamba, kazi watafanya sababu wanataka hela ila will they make themselves alligned na malengo ya kazi yako..?kwan akina j melody wanachotaka si hela, atawapa hela na watakata mauno majukwaani kama mabinti wa kizaramo, subiri utaona
Rubbish..Skia wewe mshamba
Mimi nina hela zaidi yake, sina shida, na nipo nchi iliyo bora zaidi yake. Yeye aendelee na kazi, sina shida nae.Na ushamba wake ndo kashakua katibu Sasa we mjanja umeteuliwa kuwa nani