Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.

Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.

Kila lakheri.
Kizazi Cha Sasa kinataka katiba mpya, na sio sura ya mzee au kijana. Kwa bahati mbaya ccm sio chama Cha kizazi hiki, hivyo muweke kijana ama mzee, Bado wizi wa kura kwa mbeleko ya vyombo vya Dola ndio itakuwa tegemeo Lenu.
 
Ukiwa kwenye nchi ya watu wenye akili ndogo ni shida Sana, wanaamini uenezi ni kuropokaropoka tu. Huwezi kuwa na akili timamu ukashawishi watu eti Makonda alikuwa mtu sahihi. Yaan utembee na msafara wa magari zaidi ya 30 then ukikaribia eneo la tukio upande punda kujifanya mnyonge na wapumbavu wanasifu.
Makonda anapenda Sana attention
 
Ila raia.

Makonda nongwa.

Makalla nae Nongwa.

Kwani kazi ya dingi ni kufurahisha vitoto vya 2K?

Acheni bwashe ale mafao.
 
Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.

Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.

Kila lakheri.
Hao watoto wa 2000 wamezoea kelele, majigambo, kutanua, vitisho, kujimwambafai bila kuangalia anayefanya hayo yote anatumia gharama kiasi gani

Kwa kuanzia tu, vijana smart wanaopenda chama chao wangefanya tathimini fupi ya gharama alizotumia Makonda kwa kipindi kifupi tu alichodumu ofisini. Halafu wangehojiana kuona kama gharama zote hizo zilikuwa ni za lazima kulinganisha na impact au kulikuwa na namna nyingine ya kufanya uenezi wake na kuokoa gharama hizo?
 
Mshamba tu wa zamani ambaye alipata fame kwa kuimbwa na band za mjini ila saivi ataongea nini na kina Jay Melody awatumie kwenye campaign..?? Obviously ni Nothing
kwan akina j melody wanachotaka si hela, atawapa hela na watakata mauno majukwaani kama mabinti wa kizaramo, subiri utaona
 
kwan akina j melody wanachotaka si hela, atawapa hela na watakata mauno majukwaani kama mabinti wa kizaramo, subiri utaona
Ona huyu mshamba, kazi watafanya sababu wanataka hela ila will they make themselves alligned na malengo ya kazi yako..?
Umaskini umewapofusha kiasi cha kwamba mnadhani kila mfanyakazi wako ana mlengo sawa na wewe.
 
Back
Top Bottom