Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nafasi ya Katibu wa Uenezi na Itikadi inapaswa kuwa ya Vijana damu changa na sio wazee dizaini ya Amos Makala.

Kwa uteuzi huu sitoshangaa mama kurudi tena mezani kabla ya 2025 kusaka Mwenezi mwingine.

Waliowahi kushika hizo nafasi watu kama Nape Mnauye,Pole pole,Shaka,Makonda hao ndio size Ili walete amsha amsha.

Ingefaa kabisa Jokate angefaa zaidi kwenye hiyo nafasi badala ya bwana Makala ambae umri umesogea.

View: https://www.instagram.com/reel/C5TdwX_q5Hg/?igsh=Z2hhdDB6ODE1OTZ6

My Take
Naunga mkono hoja ya wazee wa minyama kumkataa Makala.

Namshauri Mwenyekiti awe anaziba maskini Kwa Baadhi ya ushauri,ilikuwa mapema sana kumtoa Makonda ilitakiwa wampe mda mihemko ikiisha angekuwa sawa maana wangemkanya tuu Kwa Baadhi ya mambo.

Wanalotaka chawa mama anawapatia kiufupi anaupiga mwingi sana yaani mama ana maono!
 
Nafasi ya Katibu wa Uenezi na Itikadi inapaswa kuwa ya Vijana damu changa na sio wazee dizaini ya Amos Makala.

Kwa uteuzi huu sitoshangaa mama kurudi tena mezani kabla ya 2025 kusaka Mwenezi mwingine.

Waliowahi kushika hizo nafasi watu kama Nape Mnauye,Pole pole,Shaka,Makonda hao ndio size Ili walete amsha amsha.

Ingefaa kabisa Jokate angefaa zaidi kwenye hiyo nafasi badala ya bwana Makala ambae umri umesogea.

View: https://www.instagram.com/reel/C5TdwX_q5Hg/?igsh=Z2hhdDB6ODE1OTZ6

My Take
Naunga mkono hoja ya wazee wa minyama kumkataa Makala.

Namshauri Mwenyekiti awe anaziba maskini Kwa Baadhi ya ushauri,ilikuwa mapema sana kumtoa Makonda ilitakiwa wampe mda mihemko ikiisha angekuwa sawa maana wangemkanya tuu Kwa Baadhi ya mambo.

Hiyo nafasi inawafaa watoto wa mjini kama akina Amos Makalla!! Papa Amos mzee wa Totoz mtoto wa mujini.
 
Nafasi ya Katibu wa Uenezi na Itikadi inapaswa kuwa ya Vijana damu changa na sio wazee dizaini ya Amos Makala.

Kwa uteuzi huu sitoshangaa mama kurudi tena mezani kabla ya 2025 kusaka Mwenezi mwingine.

Waliowahi kushika hizo nafasi watu kama Nape Mnauye,Pole pole,Shaka,Makonda hao ndio size Ili walete amsha amsha.

Ingefaa kabisa Jokate angefaa zaidi kwenye hiyo nafasi badala ya bwana Makala ambae umri umesogea.

View: https://www.instagram.com/reel/C5TdwX_q5Hg/?igsh=Z2hhdDB6ODE1OTZ6

My Take
Naunga mkono hoja ya wazee wa minyama kumkataa Makala.

Namshauri Mwenyekiti awe anaziba maskini Kwa Baadhi ya ushauri,ilikuwa mapema sana kumtoa Makonda ilitakiwa wampe mda mihemko ikiisha angekuwa sawa maana wangemkanya tuu Kwa Baadhi ya mambo.

Mzee Capt. Chiligati alifanya vizuri zaidi ya vijana ktk nafasi hiyo......
 
Back
Top Bottom