Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Waliowaletea hizo Dini ndio walioukubali Ushoga na wana Sherehe zao kila mwaka, shughuli za Nchi zinasimama kusheherekea uwepo wa Mashoga, lakini pia wanafungishwa hadi Ndoa,

Sasa wewe Ngumbaru ambaye hata Maji tu kupata tabu usikute hapo una siku tatu hujaoga lakini unatunukisha kwapa lako hapa kwa kubishana juu ya Ushoga

Kwa akili zako unafikiri Wazungu wote ni Wakristo au wanadini😂😂😂

Ndio maana nikasema ninyi vidada vyembamba akili zenu zikichanganywa mnakuwa wapumbavu Sana.

Ni Sawa useme waarabu wote wanaamini uislam. Wakati wapo waarabu wasio na Dini Kabisa.

Kwa Uelewa uliouonyesha ngoja nikuache maana nilidhani najadili na mtu mwenye elimu walau ya degree lakini kumbe ni Wale wenye Elimu hewa ya kukariri
 
Muone na huyu,
Haya tukuulize wewe ngumbaru ushawahi kupiga na kuua Mashoga wangapi Nchini kwako,
Maana wamejaa tele na wanajionesha hadharani,

Nakukumbusha yaliyomtokea Makonda.

Mimi kuua mtu wa type iyo wala sioni kama inamantik ikiwa ye yupo na maisha yake hajiattach na mambo ya watu wengine kijinsia, ndo maana mashoga wapo wengi mtaani na hatuna shida nao unawatazama unawaacha kama walivyo, tatizo lina kuja pale uyo shoga anajileta kwenye familia yako au anajihusisha na familia yako apo ndo tatizo linaanza binafsi sina shida nao, wao wakifanya ufirauni wao huko tena ikawa sirisiri aah mi nitawapongeza zaidi watakuja kudill na mungu wao kivyao ila akijaribu kuingia kwenye familia yangu apo ndo sheria ya mkono itapochukua mkondo wake unapoona hata vyombo vya kiserikali vipo kimya na hao watu ni kwamba hawajawagusa mahala pake mfano uyo kassim PM imagine mtoto wake wakiume anamletea mwanaume mwenzake kua ndo mume wake unafikiri Kassim atapigq makofi aseme wife piga pirau mwanetu anaolewa!!! Hakuna kitu kinauma hasa mzazi wa kiume mwanao akiwa wa ivo inauma sana asee.
 
Laana ni kutoka nje ya huruma/rehema ya/za Mola muumba.

Hao wala usiwatajie mambo ya mola wao hawana hiyo hadhi ya kutajiwa jina la mungu.
Watakutukana na kumtukana huyo mungu.

Hawa Kama huna chakufanya jadiliana nao kihuni tuu
 
Waliowaletea hizo Dini ndio walioukubali Ushoga na wana Sherehe zao kila mwaka, shughuli za Nchi zinasimama kusheherekea uwepo wa Mashoga, lakini pia wanafungishwa hadi Ndoa,

Sasa wewe Ngumbaru ambaye hata Maji tu kupata tabu usikute hapo una siku tatu hujaoga lakini unatunukisha kwapa lako hapa kwa kubishana juu ya Ushoga
Sisi kwenye dini yetu ya Kiislamu Shoga na Msagaji hukumu yao ni kuuwawa.

Sababu watu Hawa wanakuwa kama Wanyama au zaidi ya Wanyama, hali ya kuwa wamepewa akili na utashi. Bali wanaleta ufisadi katika Ardhi.

Kuna mambo kujua ubaya wake ni rahisi sana kuliko kitendo cha wewe kupepesa macho. Mfano kujua ya kuwa ushoga ni jambo baya au usagaji ni jambo baya, hakuhitaji akili kubwa.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Safi sana,
 
Hata mimi huwa nawaza hivo tu, nikija kupata mtoto wa kiume kisha awe shoga namuua tu, Ila nitatafuta namna nzuri ya kumuua ambayo sitajulikana kama ni mimi ndo nimeua...
Tema mate chini
 
Hao wala usiwatajie mambo ya mola wao hawana hiyo hadhi ya kutajiwa jina la mungu.
Watakutukana na kumtukana huyo mungu.

Hawa Kama huna chakufanya jadiliana nao kihuni tuu
Nakupa vizuri hawa ukienda nao kihuni unawapoteza.

Hawa sahihi kwenda nao kwa hoja za kiakili na maandiko. Sababu haya mambo hayakuanzia kwao Hawa wanafanya marudio, wakubwa wao wale wa Sodoma na Goroma, watu hawajui au hawasomi Historia, wakitaka kujua ya kujua uzito wa wa jambo hilo waangalie adhabu waliyopewa watu wa Sodoma na Gomora, wale jamaa walishushua mvua Kali, haikutosha wakapigwa na mawe Toka mbingu haikutosha Ardhi yao ikapinduliwa juu chini, kwa adhabu hii ni kuona kwa namna gani jambo hili ni BAYA na zito sana.
 
Sisi kwenye dini yetu ya Kiislamu Shoga na Msagaji hukumu yao ni kuuwawa.

Sababu watu Hawa wanakuwa kama Wanyama au zaidi ya Wanyama, hali ya kuwa wamepewa akili na utashi. Bali wanaleta ufisadi katika Ardhi.

Kuna mambo kujua ubaya wake ni rahisi sana kuliko kitendo cha wewe kupepesa macho. Mfano kujua ya kuwa ushoga ni jambo baya au usagaji ni jambo baya, hakuhitaji akili kubwa.
Nipe maandiko ya kwenye dini yako tuyaone yakisema hayo,

Maandiko yaliyopo kwenye kitabu cha Dini yako
 
Waviache vitoto vikuekue vikifika hapo kwenye 17/18 angalau vianze kutembezewa moto
Wengi wanaopinga ushoga hapa ni halali na haina ukakasi kwao kuoa mtoto wa miaka14.
Pia wanapinga kwa nguvu zote sheria itakayopiga marafuku mtoto wa miaka 14 kuolewa.
Unawaambiaje?

Mtoto yoyote wa kike mwenye uwezo wa kubeba mimba huyo tayari ni mtu mzima.

Ninyi Vijana hizo elimu mmeenda kusomea ujinga?

18 Age iliyowekwa na Dunia ya sasa lengo lake ni ku-control population na sio zaidi ya hapo.
 
Mimi kuua mtu wa type iyo wala sioni kama inamantik ikiwa ye yupo na maisha yake hajiattach na mambo ya watu wengine kijinsia, ndo maana mashoga wapo wengi mtaani na hatuna shida nao unawatazama unawaacha kama walivyo, tatizo lina kuja pale uyo shoga anajileta kwenye familia yako au anajihusisha na familia yako apo ndo tatizo linaanza binafsi sina shida nao, wao wakifanya ufirauni wao huko tena ikawa sirisiri aah mi nitawapongeza zaidi watakuja kudill na mungu wao kivyao ila akijaribu kuingia kwenye familia yangu apo ndo sheria ya mkono itapochukua mkondo wake unapoona hata vyombo vya kiserikali vipo kimya na hao watu ni kwamba hawajawagusa mahala pake mfano uyo kassim PM imagine mtoto wake wakiume anamletea mwanaume mwenzake kua ndo mume wake unafikiri Kassim atapigq makofi aseme wife piga pirau mwanetu anaolewa!!! Hakuna kitu kinauma hasa mzazi wa kiume mwanao akiwa wa ivo inauma sana asee.
Akiwa ni mwanao ndio anakuja na mpenzi wake kukutambulisha utamuua???
 
Nakupa vizuri hawa ukienda nao kihuni unawapoteza.

Hawa sahihi kwenda nao kwa hoja za kiakili na maandiko. Sababu haya mambo hayakuanzia kwao Hawa wanafanya marudio, wakubwa wao wale wa Sodoma na Goroma, watu hawajui au hawasomi Historia, wakitaka kujua ya kujua uzito wa wa jambo hilo waangalie adhabu waliyopewa watu wa Sodoma na Gomora, wale jamaa walishushua mvua Kali, haikutosha wakapigwa na mawe Toka mbingu haikutosha Ardhi yao ikapinduliwa juu chini, kwa adhabu hii ni kuona kwa namna gani jambo hili ni BAYA na zito sana.

Nakuhakikishia unapoteza muda wako.
Ogopa mtu asiyejiheshimu,
Asiyeheshimu wazazi wake,
Huyo hawezi kukusikiliza wala hawezi kumsikiliza mungu.

Sio kwamba wanachokifanya hawajui ni kibaya wanajua zaidi ya Sisi kwani wao tayari wameshaingia huko.
Ila ushetani ukishamuingia mtu ndio huwa hivyo
 
Nipe maandiko ya kwenye dini yako tuyaone yakisema hayo,

Maandiko yaliyopo kwenye kitabu cha Dini yako

Mambo ya Walawi 20:13
Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
 
Kwa akili zako unafikiri Wazungu wote ni Wakristo au wanadini[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio maana nikasema ninyi vidada vyembamba akili zenu zikichanganywa mnakuwa wapumbavu Sana.

Ni Sawa useme waarabu wote wanaamini uislam. Wakati wapo waarabu wasio na Dini Kabisa.

Kwa Uelewa uliouonyesha ngoja nikuache maana nilidhani najadili na mtu mwenye elimu walau ya degree lakini kumbe ni Wale wenye Elimu hewa ya kukariri
Kumbe Wazungu wote sio Wakristo na wapo wasiokua na Dini sasa unavyoleta maandiko sijui Shoga auwawe sijui Mchawi na anayetembea na Wake za Watu wauwawe ulikua unawapelekea wakina nani hayo maandiko??? Au wewe kwa akili zako za kupigia punyeto unajua Waafrika wote ni Wakristo??

Halafu mimi sio Mdada mwembamba mimi nina Miraba yangu minne a.k.a Shababi [emoji23]

Mimi sina stress za kuwaza mikundu ya watu huku niwaze maji ya mgao. [emoji23]
 
Wewe mleta uzi siku ikitokea kwenye ukoo wenu akatokea shoga ndo utajua mzee alichokifanya kama ni sahihi.

Embu pata picha mtoto wa kiume anakuletea mpenzi wake wa kiume kujitambulisha? Kweli? Embu peleka uko ujinga wa haki za binadamu.

We ndo umesema na umenena🫡🫡heshima zote kwako na sio uyo tuu tunakemea hata mtoto kua na tabia chafu sizizo na maadili kwenye jamii hata mtoto akiyafanya basi ni kheri afanye kwa usiri mkubwa sana au akafanyie huuko na asidhubutu kujiattach na familia ni sawa mtoto akacheze video za ngono waziwazi alafu awe anatokea kwako na watu wanamjua anaishi na wewe nawe unachekacheka tuu et kwakua analeta hela kiukweli swala la mtoto kua mshenzi alafu mtu upo proud na ushenzi wake mean nawe ni walewale tu tena unakuta mtoto unauleta huo ushenzi mbele yangu akiwaza nitakupigia makofi na kumchekea ilo ni big no kabisa tena namfundisha adabu mbele ya wadogo zake ili waone jinsi gani nilivyo katiri kwenye mambo yakishenzi ili wajue kua Baba ni mwehu kwenye aya maswala.
 
Ninyi vidada vyembamba vyeusi mliochanganywa na ulimbukeni mnamambo Sana.

Nani anachanganywa na mambo ya wengine?
Kwa level yangu Kama Baba mtoto wangu wakiume huyo ni jukumu langu kuhakikisha anafanya kile anachopaswa kukifanya.
Watoto wa wengine hawanihusu.

Ila Kama ningekuwa Rais ndio watu wa taifa langu lote wangenihusu. Mpaka ninyi mngeonja joto la jiwe.
Hakika naapa Dunia isingenisahau.
Hayo ni majukumu ya kitaifa
Naona huyo mke wa Mtu alokufanya hadi mumewe akakufira alikua Mwembamba mweusi basi unadhani kila mtu ni mwembamba mweusi, lol

Mashoga wapo na wataendelea kuwepo tu wewe utaondoka watakuja wengine watazaa na katika watakao wazaa na Mashoga watakuwepo,

Pambana uache alama hapa duniani ukumbukwe na kijiji chako sio waseme Marehemu alikua anapenda kunusa mikundu ya Watu [emoji2960]
 
Back
Top Bottom