Dr. Mwigulu Nchemba
Minister
- Feb 25, 2012
- 419
- 2,169
- Thread starter
-
- #201
Ubunge ni Matakwa ya WANANCHI, ila nikijitathimini, nimevuka malengo, Kuna vitu Nimefanya havikwepo hata KWENYE ahadi. Ya UWAZIRI NAOMBA NISIZISEMEE MAMLAKA HUSIKA. KUNA KUTUMWA NA KUNA KUPUMZISHWAMh kulingana na Tanzania ilipotoka, Ilipo na inapokwenda unafikiri unatosha kuwatumikia Watanzania katika nyanja ya Ubunge au hata Uwaziri?? Ni vyema ukatuambia kwanini..??
Hili Jambo kila mtu amepewa fursa ila wenzetu hawajaitumia vizuriMheshimiwa unazungumziaje swala.la seriakali na chama chako kuendelea kufanya kampeni wakati watu wa vyama vingine wanazuiliwa kufanya siasa je ndio Mbeleko hii kuibeba serikali na chama chako??
Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
Umekuja hapa ukatuomba tukuulize chochote ujibu; sasa mbona unakwepa maswali ya msingi kabisa. Hebu jibu la Lissu, la Nondo na hao wengineNitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Kwa hivyo safari yako kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020, ndiyo imeanza na hoja hii? Katika yoote yanayoendelea nchini na yanayosikika kukuhusu ndiyo umeianza kihivyo?Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Akutafute wapi wakati umesema utajibu hapahapa kila kitu?Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Hapa Kuna TAARIFA umezitumia sio sahihi. TAARIFA zilizopo UMASIKINI UNAPUNGUA, NDIO TAARIFA MPYA KABISA, HIZI ZA 2M people kurudi kwenye UMASIKINI umezitoa wapi?Nadhani kusema Mwelekeo ni mzuri , alafu hapo hapo useme "Tutakiri haya miaka ijayo si sahihi"
Mosi, huu Mwelekeo mzuri ulipaswa kua na viashiria ambavyo tungeviona kuanzia sasa , hatungehitaji kuitabiri hiyo miaka ijayo , ila ingeonekana kuanzia sasa , ni kama tu mkulima wa mahindi , yakifika saiz ya goti tayari unapata picha , Safari navuna au sivuni
Jambo la pili , kwa mujibu wa taarifa mbali mbali , chini ya uongozi wenu , Zaid ya watanzania mil 2 wamerud kwenye lindi la umasikini , je ..ni kitu gani mnatengeneza hapa mkuu ? Kwanini mwaona fahari Sana kusifiana badala ya kuangalia ni wapi mlipo teleza ?
Majibu yako n muhimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kila mchangiaji anapoomba ufafanuzi,,unamwambia akutafute watakutafuta wangap mkuu??? mbona unaenda kinyume na mwenyekiti wako wa chama pia Rais ambae yeye anawasikilizaga wananchi papo hapo na kutolea ufafanuzi papo hapo???Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Ubunge sio mtaji ni UwakilishiMkuu usigombee tuachie wadogo zako,we SI umeshapata mtaji mkuu,nenda kajiajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikatishwe tamaa na haters, wasikurudishe nyuma, wengi hawayajui unayoyajua, kaza mwendo utafika tu, tunakuombea na kujutakia mafanikio, kila la heri bro.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Jibu haya maswali acha kujibu kihuni umejileta mwenyewe kwa kujimwambafai kuwa upo tayari kujibu hoja zote.HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CDM
Tatizo mijadala huwa sio ya PhDMh humu jukwaani wewe ni member wa siku nyingi sana, jukwaa kwa miaka mingi mpaka leo huwa na mijadala mipana juu ya mambo ya msingi kwenye maendeleo ya nchi hii ikiwemo siasa, uchumi, madini,ulinzi, oil and gas nk.. Mh sijawahi kukuona kwenye hiyo mijadala ukitoa michango yako kama msomi wa kiwango cha PHD, vipi tatizo ni nini Mh..?
Hapo Singida ulienda kuwa hadaa raia, maana pindi ulipokua waziri ulikua na fursa moja kwa moja ya kufanya unachokizungumzia hapo baada ya kupwaya umerudi kulialia hapa hufai hata bure mkuuYes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Naona umemjibu vizuri huyo jamaa.Ukipenda kitu sio lazima imsaidie mtu, kwani unapovaa jezi ya Chelsea au Man u huwa inatusaidia Nini hata UINGEREZA HUJAFIKA. MIMI NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, HIYO BENDERA YA TAIFA