Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Mh mwigulu. Wewe ulipodumu wizara ya Mambo ya ndani he ulibuni au kujenga msingi wowote wa watu kutokushikiliwa Kama mahabusu ili Hali ushahidi hakuna, adha inayopelekea watu kuwa na status ya mahabusu zaidi ya miaka 3.
Ukiwa Kama msomi unadhani kitu gani kifanyike ili hayo yaondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa Kama msomi unadhani kitu gani kifanyike ili hayo yaondoke
Sent using Jamii Forums mobile app