Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Mkuu kwanza pole kwa miangaiko ya kila siku na nakushukuru kwa kutupa nafasi ya kukuuliza maswali.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mimi binafsi sina swali lakini nina ombi.
Nakuomba uchukue nafasi hii kutuomba msamaha wananchi kwa mauaji, utekaji na uhalifu uliotokea kipindi ulicho kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Kumbuka, wizara hii inasimamia usalama wa wananchi.
Natanguliza shukrani.