Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
1. Hili jibu halikusaidii Mheshimiwa, kama hutaki kutujibu hapa ondoka maana hatujakuita umejileta mwenyewe. Tulishazoea ndugu zetu wanauawa mnafurahi, Leo unaulizwa unakwepa eti watu wakutafute pembeni!!? Waambie Watanzania nini kilichotokea?

2. Tupe picha moja ukiwa Ilboru umevaa skafu vinginevyo huo ni uongo kama uongo mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mwigulu Nchemba humu weka uzi halafu tembea usisubiri majibu humu kuna watu tuna majibu/maswali yanayoweza kumuua mtu

Ndio maana Tundu Lissu, Lema wote na verified IDs humu huwa wanaanzisha uzi na kuondoka, hawakosei maana humu unaweza hisi unakufa kwa comments zilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora anae anzisha na kujibu kuliko anae kimbia maana anawaachia watu ugumu wa kumtetea
 
NAONESHA MSISITIZO 😄😄😄😄😄😄
Wewe Mwigulu sitokusamehe kamwe kwa dhambi yako ya kuficha uovu aliofanyiwa Tundu Lissu. Pia nina taarifa zako kuhusu tukio la Ben Saanane. Hivi huoni aibu kuwa mtu uliyekuwa ukijibizana naye humu Jf amepotezwa wewe ukiwa waziri wa mambo ya ndani?

Unaona raha gani kuja humu? Tundu Lissu ameshambuliwa kwa risasi wewe umemezea kwakuwa tukio liliungwa mkono na mkubwa wako? Huna usafi wa kuja humu Jf maana hizi tuhuma ni zako moja kwa moja.

Watu walikuwa wanauawa kutokana na operesheni maalum ya MKIRU wanatupwa mtoni na ufukweni wewe ukiwa waziri wa mambo ya ndani huku ukija na vihoja eti ni wahamiaji haramu. Unakuja humu kwa kuwa bado unahisi kuwa unauhitaji bado ulaji?

Huyo anaweza tena kukupa uwaziri maana haya mambo hayajawahi kumshtua!
 
Mwigulu Nchemba naona matumaini yamerejea baada ya kukutana na Mangula.

Vipi unachukuliaje yule babu mpenda maandamano DK Slaa ambaye ulikuwa unamponda kwamba alikuwa anaamka usiku anaandamana kuzunguka kitanda kwa sasa anafurahia matunda ya CCM huko Sweden wakati wewe huku hali tete ?

Ni lini utatubu mbele ya watanzania kwa kuwaambia alipo BEN SAANANE, AZORY GWANDA, SIMON KANGUYE N.K ?

Na Kwanini Umeshindwa Kabisa Hata Kwenda Kumjulia Hali "Homeboy" Wako TUNDU LISSU kwasababu ya TAMAA ya MADARAKA ?
 
wewe ni mmoja wa wanao sifia utawala uliofitinika nadhani. Leo nashangaa unamwuliza mwigulu tatizo la ajira jambo ambalo lipo nje ya uwezo wake

hahahahaha mkuu tafuta muda unifahamu na unielewe, tumuulize maswali mheshimiwa ili ajue nini wananchi tunawaza na anaongoza watu wa namna gani..
 
Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Mkuu akutafute vipi,wewe SI umesema ana kwa Ana hapa!Kiungwana jibu hivi;Hizo Ni top secret za Nchi zuwezi jibu hapa!

Ila Damu za yule kijana wa Ndago haita kuacha abadani; Ulishindwa hata kumuona Lissu baada ya madhila Yale!

Damu hizi zitakuandama Daima !!!
 
Tunaomba ufute majina yako uliyoandika kwenye mawe na makaravati nchi nzima maana hauwezi kuwa rais tena coz JK ameleta Kagame na Mu7 hapa kwetu ataondolewa kwa mtutu kama Mugabe na sio kura.
 
Mh. Mwigulu salaam,

1. Unaoionaje hali ya kisiasa kwa sasa hapa nchini kwetu?

2. Unaonaje mwenendo Wa kiuchumi hasa kwa mwananchi mmoja mmoja? Je, unafikiri chama chako hasa katika awamu hii kina uwezo wa kutimiza matamanio ya watanzania walio wengi?

3. Ukijitathmini, unajiona ukirejea bungeni baada ya uchaguzi mwaka huu? Unajivunia nini juu ya uwakilishi wako wa wana Iramba kwa vipindi vyote ulivyowawakilisha?
 
Kuna jamaa mmoja tukiwa tunaenda darasani asbui...alikua na anavaa kitambaa asbui na kila tukienda bwaloni lazma avae mkono wa kushoto!

Sasa siku moja mwlm wa hisabati alpotinga class jamaa mvaa kitambaa mkononi akaingia!! Jamaa mmoja wa Sumbawanga akasmama baada ya kutoka ticha...akatuambia jamani huyu jamaa mvaa kitambaa hiki kitambaa ndiyo nguvu yake ya kusomea ila pia hutumia kutuzba baadhi yetu tusielewe darasani.

Kwa bwaloni alisema tukiingia kula huvua na kutupia kwny beseni la group Mezani... alimwambia kuanzia leo usirudie mchezo yako!!

Sasa jueni kwamba watu wengi huvaa vitu tofauti na tunavyofikili!!!Dunia hadaa hii!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa Taarifa yako zile hila ulizo kuwa unaeafanyia vijana WA CHADEMA IRAMBA MWAKA HUU UTAZILIPA! HILO NAKUAPIA... TYUNUMAU
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Hivi yule jamaa wa tindikali uliyekuwa unazunguka naye ili kujipatia kick siku hizi yuko wapi?
 
Back
Top Bottom