Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tueleweshe hapa hapa.Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Nimekuelewa sana mheshimiwa, na ni kweli kuwa yule dogo kipenzi cha baba amekuchafulia sana CV yako, ila na wewe ulikubali kumtii mjinga na kwa ujinga wake umedhalilika wewe, pole sanaHuna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndii uje uandike. Kama kawaida nadhan unataman niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
1.Ule ushahidi wa ugaidi wa Rwakatare uliosema unao na hata mbinguni uko tayari kuutoa ilikuwaje usiutoe hadi kufanya gaidi aendelee kutamba mitaani?NAONESHA MSISITIZO [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kumbe wewe ni mzalendo toka siku nyingi
Utagombea tena Ubunge mwaka huu?
Amewafanyia makosa gani tena?
mbona kauliza hapo ulichowafanyia wanairamba na hujamjibu?URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Iramba hatukutaki, tuna mtaka Kitila Mkumbo. Wewe qwishneyURAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
wewe ni mmoja wa wanao sifia utawala uliofitinika nadhani. Leo nashangaa unamwuliza mwigulu tatizo la ajira jambo ambalo lipo nje ya uwezo wakeUnayazungumziaje haya malalamiko ya wananchi juu ya ukosefu wa ajira??
Upi msaada wako kwa wana Iramba na watanzania kama Msomi, Waziri na Mbunge kwenye kutokomeza tatizo la ajira??
Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.Unayazungumziaje haya malalamiko ya wananchi juu ya ukosefu wa ajira??
Upi msaada wako kwa wana Iramba na watanzania kama Msomi, Waziri na Mbunge kwenye kutokomeza tatizo la ajira??
akutafute marangapi tofauti na hapa? Weka mambo hadharani kwa manufaa ya wengiNitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Napenda unavyojibu kwa busara bila panics.Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
NI MTANZANIA TANGU ZAMANI