Dr. Mwigulu Nchemba
Minister
- Feb 25, 2012
- 419
- 2,169
- Thread starter
- #81
IRAMBA HATU KUTAKI, TUNA MTAKA KITILA MKUMBO. WEWE QWISHNEY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IRAMBA HATU KUTAKI, TUNA MTAKA KITILA MKUMBO. WEWE QWISHNEY
hii ndio ile inaitwa majibu mepesi kwa maswali mazito, na nilitegemea hili! Yani Mhe ungejibu hayo maswali mimi leo ningejitoa JF[emoji23]Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Natamani kuwa, Najitahidi kuwa, nimefankkiwa kwa kipimo Gani wenzangu mnanijua zaidiKipi kipimo cha Uzalendo wako??
HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CHADEMA.Damu za
SowetoArusha
,Tindikali
,Ben
,Azori
,Lissu
,Masandarusi nk
zinakulilia
Aisee!!
‘Waziri’ mzima unaandika namna hiyo??!!
Kosa lako na wananchi wengi wa Tz wanadhani Mbunge au Diwani kazi yake ni kufanya, au kuleta huduma, inayofanya ni serikali unayoilipa kodi, Mbunge na Diwani wao ni visemeoTuambie ulichowafanyia watu wa Iramba kwenye nafasi yako ya Ubunge, hayo mambo ya skafu hata hayawasaidii watu wa Jimboni kwako.
Swali la kizushi ; Hivi bado una Zile NDOTO zako za kuwania Urais?
Kwamba ndio wanao husika?HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CDM
Ingekuwa hivyo tusingekuwa tunauliza maswali maana maeneo mengi yangekuwa sawa kimaendeleo, nikurahisishie kidogo, pamona na yeye kuwa kisemeo ameleta mabadiliko gani? kumbuka hata wabunge wa majimbo mengine nao ni visemeo pia lakini kuna maendeleo yanayoonekana.....Kosa lako na wananchi wengi wa Tz wanadhani Mbunge au Diwani kazi yake ni kufanya, au kuleta huduma, inayofanya ni serikali unayoilipa kodi, Mbunge na Diwani wao ni visemeo