chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Utapambana na Prof Kitila?NDIO PANAPO UZIMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapambana na Prof Kitila?NDIO PANAPO UZIMA
Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Ukipenda kitu sio lazima imsaidie mtu, kwani unapovaa jezi ya Chelsea au Man u huwa inatusaidia Nini hata UINGEREZA HUJAFIKA. MIMI NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, HIYO BENDERA YA TAIFA
Mtu senior kama wewe unafungua uzi kwa kutoa ufafanuzi suala la skafu!!!!Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
UWAZIRI sio agenda ya mtaani. Wewe ndio huwa unateua MAWAZIRI.? MIMI NATIMIZA MAJUKUMU YANGU KAMA MBUNGE NA KAMA KADA WA CHAMA CHANGUDaaah Mwigulu hadi Magufuli a step down uwaziri utausikia kwenye bomba tu
Umeelewa kujipendekeza sio solution ya kila kitu?
Kasome mchezo Bashite anampa nini mzee au kwanini Kangi anafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndii uje uandike. Kama kawaida nadhan unataman niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
Kwa upeo wako utaona tu neno "SKAFU."Mtu senior kama wewe unafungua uzi kwa kutoa ufafanuzi suala la skafu!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote! Maovu yote uliyowafanyia watanzania damu zao zinakulilia popote ulipo ndiyo maana unawayawaya kama mtetea aliyekosa pakutagia.
By the way lini utapeleka ushahidi wako kule mbinguni kama ulivyosema unao??
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mmekatazwa na chama chenu kuanza kampeni kabla ya wakati? huoni kama unakiuka miiko ya chama chako na kudharau maagizo ya wakubwa zako.....Kwa upeo wako utaona tu neno "SKAFU."
Sikuwahi kuandika, hata sijui wapi na wapi pameandikwa. Maana ilikuwa kazi ya mashabiki. Tufute tu maana swala la USAFI WA MAZINGIRA NI LETU SOTEKwa hiyo Mheshimiwa unaona ulichofanya ni sawa? kwamba wewe ndio Rais 2015, pamoja na kukana kwamba hukuambiwa ufute je huoni huo ni uchafuzi wa mazingira na unapaswa kuwajibika katika hilo....
Upeo wangu huu Pia nimeona njiani kwenye mawe kuwa Mwigulu Nchemba raisi 2015Kwa upeo wako utaona tu neno "SKAFU."
Kwanini usitoe sehemu ya posho zako za ubunge kugharamia hilo suala la usafi? hamna mtanzania ambaye yupo tiyari kuwajibika kwa upuuzi huo mliofanya na wafuasi wako, hujiulizi mbona wagombea wengine hamna aliyechorwa majina yake kwenye miundombinu ni wewe tu?Sikuwahi kuandika, hata sijui wapi na wapi pameandikwa. Maana ilikuwa kazi ya mashabiki. Tufute tu maana swala la USAFI WA MAZINGIRA NI LETU SOTE