Dr. Mwigulu Nchemba
Minister
- Feb 25, 2012
- 419
- 2,169
- Thread starter
-
- #261
Kiuchumi nawahamasisha zaidi walime ALIZETI, COMPARATIVE ADVANTAGEUnajitihada gani za kuhamasisha kilimo cha korosho katika jimbo lako ili kiweze kusaidia kuinua uchumi wa wananchi wako maana Mkoa wako wananchi hasa mmoja mmoja wana hali mbaya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hi Post ina VITU VINGI, VINGINE KWA SASA MIMI SIO MSEMAJI WA MAMBO HAYO.
ILA ANAYEHITAJI KUJUA NINACHOKIJUA ANITAFUTE KWA SIMU NIMFAFANULIE
Mikoa kama Ruvuma na Kagera vijijini wana majumba mazuri vipi ninyi mkoani kwenu mna mpango wowote wa kubadili makazi walau wananchi waanze kujenga nyumba bora vijijini?
Sent from my iPhone using JamiiForums
[/Q
Tumebadilika kwa kiwango kikubwa sana
kila siku 1m? how ?? hii chai ni ya moto sanaHuna TAARIFA SAHIHI, HATA SASA NIKO NA TIMU MWANZA. KILA SIKU NATOA 1M KWA AJILI YA TIMU
Mimi sio MSEMAJI wa KITILA NA PIA KWA SASA MIMI SIO MGOMBEA NI MBUNGE.1. Mwigulu ni kweli kuna vita ya kugombea jimbo kati yako na Kitila Mkumbo?
2. Haya unayofanya huku sio kuanza kampeni kabla ya wakati, huoni unajitafutia balaa kwenye chama chako sababu nimewasikia viongozi wako wa chama wakipiga vita hii kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku unatoa 1 million kwa ajili ya timu, umekosea hiyo statement au ndivyo ilivyo?Huna TAARIFA SAHIHI, HATA SASA NIKO NA TIMU MWANZA. KILA SIKU NATOA 1M KWA AJILI YA TIMU
Asante sana mh. Kwa kazi nzuri uliofanya (japo watu walipotea sana kwenye uongozi wako kuliko wengine waliokutangulia) vipi nasikia ile timu yako iko kwenye mawe imekuwaje tena au ulivyotumbuliwa nayo uliitumbuaKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Chakula na mambo MENGINE
Unazungumziaje ubora wa shule zetu pale Iramba na kwingineko Tanzania??
Kwanini wanao wasisome pale Iramba au kwenye shule za serikali kama wapiga kura wako wafanyavyo? na wewe kipindi hichi ukiwa mbunge usiishi pale Iramba for more than 60% of your life??
Hahahahahah umekuja kutushushua sio[emoji2].Mimi ni mwana forum, SIKUJA, BALI NIPO SIKU ZOTE[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
KAWAIDA TUAsante sana mh. Kwa kazi nzuri uliofanya (japo watu walipotea sana kwenye uongozi wako kuliko wengine waliokutangulia) vipi nasikia ile timu yako iko kwenye mawe imekuwaje tena au ulivyotumbuliwa nayo uliitumbua
Humo humo bungeni mkuu , naamini hata wewe umewahi msikia Zitto akitoa hizo data , na hamjawahi kukataa kumwambia afute kauli , that means hiyo ni validHapa Kuna TAARIFA umezitumia sio sahihi. TAARIFA zilizopo UMASIKINI UNAPUNGUA, NDIO TAARIFA MPYA KABISA, HIZI ZA 2M people kurudi kwwnye UMASIKINI umezitoa wapi?
Hili jibu nimelipendaLete vya DARASANI TUJADILI VILIVYO BETTER, sio kila WAKATI ukae na PhD rafiki yangu. Mimi sio wa hivyo
Natamani kuwa, Najitahidi kuwa, nimefankkiwa kwa kipimo Gani wenzangu mnanijua zaidi
Jibu kwa upande wako acha kupanic, na hata kama wewe ni mbunge ukianza kusema mazuri yako hapa una maana gani kama sio kujisafishia njia ya kurudi bungeni?Mimi sio MSEMAJI wa KITILA NA PIA KWA SASA MIMI SIO MGOMBEA NI MBUNGE.
Huna TAARIFA SAHIHI, HATA SASA NIKO NA TIMU MWANZA. KILA SIKU NATOA 1M KWA AJILI YA TIMU