Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

1. Mwigulu ni kweli kuna vita ya kugombea jimbo kati yako na Kitila Mkumbo?

2. Haya unayofanya huku sio kuanza kampeni kabla ya wakati, huoni unajitafutia balaa kwenye chama chako sababu nimewasikia viongozi wako wa chama wakipiga vita hii kitu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mwigulu ni kweli kuna vita ya kugombea jimbo kati yako na Kitila Mkumbo?

2. Haya unayofanya huku sio kuanza kampeni kabla ya wakati, huoni unajitafutia balaa kwenye chama chako sababu nimewasikia viongozi wako wa chama wakipiga vita hii kitu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio MSEMAJI wa KITILA NA PIA KWA SASA MIMI SIO MGOMBEA NI MBUNGE.
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Asante sana mh. Kwa kazi nzuri uliofanya (japo watu walipotea sana kwenye uongozi wako kuliko wengine waliokutangulia) vipi nasikia ile timu yako iko kwenye mawe imekuwaje tena au ulivyotumbuliwa nayo uliitumbua
 
Unazungumziaje ubora wa shule zetu pale Iramba na kwingineko Tanzania??

Kwanini wanao wasisome pale Iramba au kwenye shule za serikali kama wapiga kura wako wafanyavyo? na wewe kipindi hichi ukiwa mbunge usiishi pale Iramba for more than 60% of your life??

mkuu, watoto wa nyerere walisoma ulaya mfano makongoro kasoma chuo kikuu ulaya huko itakua wa mwigulu ? kila mtu na mipango yake ya ki familia mfano mimi nataka siku nikiwa na watoto wasome ulaya au marekani.
nadhani swali la kumuuliza huyu mtu ni kwamba wakati wa uongozi wake watanzania wengi walipotea na kuuwawa je yeye kama waziri alichukua hatua gani ? na kwanini alishindwa kuchukua hatua ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapa Kuna TAARIFA umezitumia sio sahihi. TAARIFA zilizopo UMASIKINI UNAPUNGUA, NDIO TAARIFA MPYA KABISA, HIZI ZA 2M people kurudi kwwnye UMASIKINI umezitoa wapi?
Humo humo bungeni mkuu , naamini hata wewe umewahi msikia Zitto akitoa hizo data , na hamjawahi kukataa kumwambia afute kauli , that means hiyo ni valid

We hizo unazosema umasikini umepungua unazitoa wapi ??

Lakini pia , ukienda jimboni kwako pale , unaona kuna dalili za umasikini kupungua ? Shughuli za kimaendeleo za mwananchi mmoja mmoja zilizokuwepo 2015 kurudi nyuma , kasi yake unaona ni ile ile leo hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom