Dr. Mwigulu Nchemba
Minister
- Feb 25, 2012
- 419
- 2,169
- Thread starter
-
- #341
Ndio maana nawambia tafuteni TAARIFA kabla ya kuandika. Mtafute Nondo umuulize nimemfanyia kitu kibaya au kitu chema. Abdul Nondo SI NI MEMBER HAPA, NA AJE ASEME NIMEMFANYIA KITU CHEMA AU KIBAYA
Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Kesho Siku ya IBAADA KATUBU KWANZA NDIO UWATAZAME WENGINE. MAANA MBINGUNI HATUTAKWENDA KWA KUWAHUKUMU WENGINE
Kweliii... Maxence Melo NAUNGA MKONO HOJAHahahaahah Maxence Melo inabidi utuwekee jukwaa ..la WANAOOMBA UTEUZI kwenye serikali yetu TUKUFU 😎😎😎😎😎🤣🤣🤣.. tupo wengi aisee...likiwekwa, unataja tu mimi Becky nakuomba Magufuli uwaziri wa kupika visheti..yeye anapitia maprofile yetu afu anachagua….hahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Akikujibu ni-TagUkiwa kama mchumi na naibu waziri wa zamani fedha, unaonaje uelekeo wa uchumi wa nchi yetu?
Ukiwa kama Mbunge wa Iramba kwa miaka mingi, umewafanyia nini wana Iramba..?
Ukiwa kama Waziri wa zamani, hivi mkikaa kwenye vikao vya baraza la mawaziri mnajadili nini vyenye manufaa kwa watanzania hawa masikini??
Ukiwa kama msomi uliyebahatika kuwa Waziri, upi mchango wako na alama kama msomi uliyoiacha mahara na tunaweza sema hapa hii ni Mwigulu legacy..?
Yale maandishi ya chagua Mwigulu kwenye miundo mbinu yetu kama madaraja na barabara, Je ni wewe ndiye uliandika kwa kutuma vijana? au ni mashabiki wako? Je unajisikiaje kwa uchafuzi ule uliohujumu miundo mbinu na umechukua hatua gani..?
Watoto wako wanasoma International school fedha pale kama sijakosea, Tunaanzaje kupima Uzalendo wako huku watoto millions wa watanzania wanasoma Govt schools..??
Kwanini unaishi Dar es salaam halafu ukawa mbunge wa Iramba??
Nitarudi tena Mh, maswali ni mengi sana..
HATUKO CCM KWA AJILI YA UTEUZI. UTEUZI NI KWA AJILI YA KAZI. KAMA HATA KUNA MTANZANIA YUKO UPINZANI HATA HAJAHAMIA CCM ILA ANAFAA KWA UTEUZI ATEULIWE TU. ATAWASAIDIA CCM NA UPINZANIUnazungumziaje swala la wapinzani kuhamia ccm na kupewa kipaumbele huku vijana wa ccm wakibaki bila teuzi...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu hii iko kambini na kila siku naihudumia. Sijateleza. Kuendesha timu sio MCHEZOKila siku au kila wakati timu inacheza, Mhe tuweke sawa hapo na kama utaambatanisha na ushahidi itapendeza maana timu inalia njaa...
Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO niZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mzee Lwakatare na familia yake kesho wanaenda kanisani kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu kutokana yaliyotokana na kesi ya Ugaidi uliyoitunga kwa kushirikiana na Ludovic , subiri malipo ya MunguKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Huna lolote! Maovu yote uliyowafanyia watanzania damu zao zinakulilia popote ulipo ndiyo maana unawayawaya kama mtetea aliyekosa pakutagia.
By the way lini utapeleka ushahidi wako kule mbinguni kama ulivyosema unao??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Umeongea kwa hisia sana mkuu...pole sana[emoji848][emoji24]Yuko wapi Ben mwana wa saa 8? Hakika damu yake itakuwa juu ya kizazi chako.. Wewe ni mzazi, hebu jiweke katika nafasi ya wazazi wa Saanane, wewe ni baba na ni mme hebu jiweke katika nafasi ya familia ya Azory Gwanda.
Hawa watu wamepotea ukiwa wewe una dhamana ya kulinda watu Hawa.
Angalia watoto wako angalia mke, angalia wazazi wako wanafuraha pindi wakuonapo mzima, linganisha na hizo familia mbili, wambieni Hao wazazi, watoto, wake sehemu walipo ndugu zao hata kama wamekufa basi waonyeshe hata mabaki ya miili yao ili wawapumzishe ndugu zao kwa heshimu sehemu inapostahili bila hivyo hakika damu hii itakulilia wewe na kizazi chako..
Husiharibu future ya kizazi chako kwa mambo yasiowahusu.
Tenda uugwana Sema unalofahamu juu ya watu Hawa, vyeo vinapita, Leo umesimama kesho waweza lala chini kwa mateso.. Zingatia Karma.....
Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Kwanza nakupongeza kwa kuja kujadiliana hapa na kujibu maswali hilo ni jambo zuri sana tunapenda viongozi wetu muwe mnajitokeza kuweza kupeana just habarKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa