Yuko wapi Ben mwana wa saa 8? Hakika damu yake itakuwa juu ya kizazi chako.. Wewe ni mzazi, hebu jiweke katika nafasi ya wazazi wa Saanane, wewe ni baba na ni mme hebu jiweke katika nafasi ya familia ya Azory Gwanda.
Hawa watu wamepotea ukiwa wewe una dhamana ya kulinda watu Hawa.
Angalia watoto wako angalia mke, angalia wazazi wako wanafuraha pindi wakuonapo mzima, linganisha na hizo familia mbili, wambieni Hao wazazi, watoto, wake sehemu walipo ndugu zao hata kama wamekufa basi waonyeshe hata mabaki ya miili yao ili wawapumzishe ndugu zao kwa heshimu sehemu inapostahili bila hivyo hakika damu hii itakulilia wewe na kizazi chako..
Husiharibu future ya kizazi chako kwa mambo yasiowahusu.
Tenda uugwana Sema unalofahamu juu ya watu Hawa, vyeo vinapita, Leo umesimama kesho waweza lala chini kwa mateso.. Zingatia Karma.....