Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Una nini cha kujivunia ulichoifanyia Iramba miaka 10 ya ubunge? Taja walau vitatu na jinsi mambo yalivyobadilika tofauti na mwaka 2010 kurudi nyuma.
 
Unazungumziaje maisha ndani ya Uwaziri na nje ya Uwaziri?

Je, hali ya uchumi nchini inaridhisha tofauti na miaka 10 iliyopita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unacheza na wanasiasa? na hapo kaandika "Ana kwa ana Mwigulu….." ndio ujue alicholenga, huwa wanagalagala hawa na kuamkia hata wanaowazidi inapokaribia kipindi cha uchaguzi
 
Mkuu,hebu tudokezee kidogo Movie la Lissu Dom lilivyochezwa.

NB

Hili unaweza kutumia Fake ID kuelezea

No hilo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nawambia tafuteni TAARIFA kabla ya kuandika. Mtafute Nondo umuulize nimemfanyia kitu kibaya au kitu chema. Nondo SI NI MEMBER HAPA, NA AJE ASEME NIMEMFANYIA KITU CHEMA AU KIBAYA
Wewe si ulishiriki kumuundia kesi ya kujiteka hatimaye Mahakama ikawaumbua. Wewe ni mtaalamu wa kutengenzea watu kesi hatujasahau ile movie yenu fake na Ludovick mliyotaka kumuangamiza Lwakatare. Naamini bado ushahidi wako bado unaushikilia hadi kiama kwani hapa duniani ulikataliwa. Mungu anakuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali hujibu unasema utafutwe na umesema utayajibia hapa; huo si upumbavu? hakuna aliyekuita umefungua uzi mwenyewe kujibu maswali yanayokuhusu alafu unasema utafutwe acha ujinga Dr. Mwigulu Nchemba.
 
Nimeshajibu, NI sensitive matter , Kuna vitu humo kwa Sasa Mimi sio MSEMAJI wake

Ulivyokuwa msemaji ilijibu chochote? Mbona ni kilio chetu cha muda mrefu?

Ni hivi bwana Mwigulu, kwa kuangalia huu uzi tu, kwa sasa uko page ya 20+ na utaendelea, lakini nina uhakika 70%+ ya michango huku ndani ya huu uzi inaonyesha wewe ni mtu dhalimu na umekuwa ukishiriki udhalimu moja kwa moja kama mtu binafsi, na kama mtendaji ndani ya taasisi.

Hii inaonyesha wewe sio mtu safi bali ni mtu unayejali zaidi madaraka, na unayatumia madaraka kuumiza wote unatofautiana nao, na sasa unasaka madaraka ili kuendelea kupata kinga ya uovu ambao umekuwa ukiutenda ndani ya nchi hii. Na kibaya zaidi tuhuma hizi unazoelekezewa kwa mwenyekiti wako ni zaidi.

Hivyo ujue ww na mwenyekiti wako mnachukuliwaje na jamii ya watanzania. Unaweza kujitetea upendavyo kwani ni haki yako, ila ukweli usioacha shaka ww ni mtu muovu fullstop.
 
Jibu la kisiasa zaidi
 
Mbona hujibu maswali unaruka ruka tu Kama maharage jikoni..

Haya Jibu haya maswali haraka Sana maana umejileta mwenyewe.


1. Mbona baada ya wewe kutenguliwa miili ya raia haramu hatuiokoti Tena kwenye viroba badala yake sasa hivi raia haramu wanakamatwa kwenye malori Kama Zamani , Je , wewe ulikuwa na mkono kwenye miili iliyokuwa inaokotwa ?
2. Nachelea kusema wewe ni moja ya mawaziri wabovu wa wizara ya mambo ya Ndani tangu mkoloni kwani ni katika reign yako tumeshuhudia utekaji, mauaji, kuwekwa vizuizini, majaribio ya kuuawa. Na hukusema lolote kama waziri. Hivi tukikuita na wewe na sehemu ya cartel ya mauaji tutakuwa tunakosea ??... Haya tueleze Yuko wapi Azory na BenSaa 8 ili tusikuone muuaji ... Ukishindwa kujibu hili swali jua hutafutika katika Dua zangu za kukuombea laana ya upalalaizi kabla ya kufa na upinde mdomo na familia yako ipate machungu Kama mliyosababisha kwa familia za wakina Azory , Tundu lisu. No

Naomba unisaidie nipate majibu mujarabu KWA haya maswali mawili kabla sijakuongeza mengine likiwemo la Kijana Abdul Nondo
 
Mheshiwa ww, january makomba,na Nape...mlikuwa wanasiasa vijana na wasomi mlikuwa tumaini la kizazi kipya mkijua kabisa ustaraabu wa vyama vingi na katiba inaruhusu lakini NINYI MKAGEUKA MAFIA, KUUA ,KUTEKA, KUKEMEA KUKOMOA wenzenu wa upande wa upinzani..MUNGU ameanza kuwalipa sawasawa na ubaya wenu katika siasa na bado MUNGU atawaadhibu vikali zaidi kwa damu mliyomwaga isiyo na hatia...mm naomba MUNGU awadhalilishe zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…