Ameshindwa kuwa rais wa singida United.Mkuu,
Hivi bado una ndoto ya uraisi wa nchii hii? Huoni mabango yako kwenye mawe yale ya 2015 yanaharibu utalii wetu unampango gani kuyafuta?
Kwa Ilboru Umeongea uongo mkuu hukuwa ukivaa skafu...nachokumbuka mimi ulikuwa Kiranja wa chakula, badae ukawa HP na wakati wa likizo ulikuwa unabaki shule kulisha ng'ombe na nguruwe wa shule ili shule ikulipie ada!Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Nafikiri Mkubwa ziara ya Mangula kwa kiasi imekurudisha kidogo kwenye mood na imekupa comfort kiasi. Lakini hata hivyo kwa nini kwa kiasi naona kama una panic fulani hivi halafu yaani upo more for contesting na defensive kwa ajili ya kutetea nafasi badala ya kuonesha wananchi wako kuwa upo tayari kuwatumikia.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Hapa umekwepa uwajibikaji, umeulizwa maswali ambayo kipindi hicho yanatekelezwa ulikuwa incharge, tena the top, yaliyotokea baada ya wewe kuondolewa ndio unaweza ukasema sio incharge.Nimeshajibu, NI sensitive matter , Kuna vitu humo kwa Sasa Mimi sio MSEMAJI wake
Tayari ushaanza kampeni, hujui hilo ni kosa kwenye Chama?URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Na hiyo ndiyo reflection ya "general public" ya watanzania tulivyo kwa asilimia hizo hizo ulizotaja ndio maana wanasiasa ambao ni zao la jamii wanakuwa hivyo kwa asilimia hizo.Ndio kawaida ya wanasiasa wengi tz, karibia 99% ni wachumia tumbo, wapo kwa ajili yao, nafsi zao mbele vingine vitafata! Unafiki kwao ni suala la kawaida kwao.
URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Kwanini hukwenda Nairobi kumsalimia Lissu mbunge na msingida mwenzio? naomba jibu inshallah
Mheshimiwa,basi tuseme kwa ufupi hakuna lolote utakalofafanua katika uzi huu. Pengine pia hukujipanga kabla ya kuna humu,ungekuwa umejipanga ungejua haya maswali ndiyo ungeulizwa.Hi Post ina VITU VINGI, VINGINE KWA SASA MIMI SIO MSEMAJI WA MAMBO HAYO.
ILA ANAYEHITAJI KUJUA NINACHOKIJUA ANITAFUTE KWA SIMU NIMFAFANULIE
Hizi sasa ni Sound kama za Mwijage!Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Kwa matatizo mengi ya hii nchi yanayohitaji kutatuliwa wewe kuja na hoja za uvaaji wako...., kwa mtu ambaye ni kiongozi wa wananchi ni kutumia platform na muda wako vibaya..., kumbuka hili sio jukwaa la chit chat bali ni jukwaa la siasa...Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Tuambie ulichowafanyia watu wa Iramba kwenye nafasi yako ya Ubunge, hayo mambo ya skafu hata hayawasaidii watu wa Jimboni kwako.
Swali la kizushi ; Hivi bado una Zile NDOTO zako za kuwania Urais?
Aiaeeee wanasiasa si watu wazuri hata hapa unathubutu kudanganya.Wapinzani wamepewa fursa?Hili Jambo kila mtu amepewa fursa ila wenzetu hawajaitumia vzr
Kazi gani anayoiendeleza Magufuli, wewe Mwigulu: au ni hii ya kuivuruga nchi yetu kidemokrasia na kuharibu uchumi!!!?Mimi ni CCM, KATIBA YA CCM NAIJUA, NA UTAMADUNI WA CCM NAUJUA, 2020 NI CHAGUA MAGUFULI, KAZI IENDELEE
Ni kweli, napata picha, wizara yake ina command chain complex sana, ata mkui wa wilaya ni commander !Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Kwa hiyo unatakwa kumwambia Pompeo amuongeze,ili bwana yule apate kampani?Una matatizo makubwa sana, yani wewe unaona huyu Mwigulu ni mtu wa kutetewa kwa maasi yaliyofanyika chini ya utawala wake??