Dr. Mwigulu Nchemba
Minister
- Feb 25, 2012
- 419
- 2,169
- Thread starter
-
- #21
Ukipenda kitu sio lazima imsaidie mtu, kwani unapovaa jezi ya Chelsea au Man u huwa inatusaidia Nini hata UINGEREZA HUJAFIKA. MIMI NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, HIYO BENDERA YA TAIFAKwani uvae usivae skafu inatusaidia nini Mkuu
Sio KAWAIDA YANGU KUPANIC, SIKUPANIC KWENYE MITIHANI NIJE NIPANIC KWA SASA😄😄😄😄😄
Mimi ni mwana forum, SIKUJA, BALI NIPO SIKU ZOTE😄😄😄😄😄
Sawa mheshiwaHilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
SIO KILA WAKATI UNATUMIA PhD rafiki yangu. WAKATI mwingine ishi kama wenzako. Kwani WATANZANIA Wote wanna PhD?Duh!
Nawe ni mbunge, 'msomi' mwenye PhD, na mtu uliyewahi kuwa waziri!!
Kazi ipo.
Mbona wamshambulia mh.kuandika si ni uamuzi tuu au Mawaziri Wa namna zao za kuandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Lete vya DARASANI TUJADILI VILIVYO BETTER, sio kila WAKATI ukae na PhD rafiki yangu. Mimi sio wa hivyoMwingulu please you are better than this.Au account yako imekuwa hacked???
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mtu ametupia UZI KUWA SIKU HIZI SIVAI SKAFU, HUU NI MKUTANO MKUU WA JUZI TAR 19/2/2020 WAKATI WA ZIARA YA MZEE MANGULA. SKAFU NILIKUWA NAVAA HATA KABLA YA KWENDA ILBORU SEKONDARI HAIKUWA SARE YA UWAZIRI
Ukipenda kitu sio lazima imsaidie mtu, kwani unapovaa jezi ya Chelsea au Man u huwa inatusaidia Nini hata UINGEREZA HUJAFIKA. MIMI NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, HIYO BENDERA YA TAIFA
Mh Rais JPM aliwahi kukuambia ukafute maandishi uliyoyaandika au kuwatuma vijana wako wakachore kwenye mawe hasa yaliyo kando mwa barabara karibia nchi nzima yaliyoandikwa kwamba wewe ndio Rais 2015[emoji23], Je umefanya hivyo? na kama hujafanya hivyo ni dharau umeamua kuonesha kwa Mwenyekiti wa chama na Rais wako?Lete vya DARASANI TUJADILI VILIVYO BETTER, sio kila WAKATI ukae na PhD rafiki yangu. Mimi sio wa hivyo
NDIO PANAPO UZIMAUtagombea tena Ubunge mwaka huu?
Unatumia redio mbao wewe, USIMLISHE MANENO RAIS WANGU. Mhe RAIS wangu anashughulika na mambo MAKUBWA hajawahi KUSEMA hivyo Wala kuniambia binafsi. Hayo ni maneno ya kubuni ya watu kama wewe hiviMh Rais JPM aliwahi kukuambia ukafute maandishi uliyoyaandika au kuwatuma vijana wako wakachore kwenye mawe hasa yaliyo kando mwa barabara karibia nchi nzima yaliyoandikwa kwamba wewe ndio Rais 2015[emoji23], Je umefanya hivyo? na kama hujafanya hivyo ni dharau umeamua kuonesha kwa Mwenyekiti wa chama na Rais wako?