Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Hii ya UCHUMI, MWELEKEO NI MZURI, KWA MAANA YA KAMA NCHI TUNAJENGA MISINGI YA KUJITEGEMEA, HATUA HII HUWA NI NGUMU NA INAAMBATANA NQ UGUMU. MWELEKEO NI MZURI, TUTAKIRI HAYA MIAKA IJAYO
NakuelewaNimeshajibu, NI sensitive matter , Kuna vitu humo kwa Sasa Mimi sio MSEMAJI wake
Mkuu unaweza kutuandikia hapa changamoto ulizokutana nazo ulipokuwa waziri wa mambo ya ndani?, Na hatua ulizochukua kutatua (Kama zipo)?Nimeshajibu, NI sensitive matter , Kuna vitu humo kwa Sasa Mimi sio MSEMAJI wake
Namjibu kama mwanafamilia wa JF, sasa usinilazimishe kutoa majibu kwa namna unavyotaka wewe.....Mkuu hebu jaribu kumuheshimu Mwigulu Mchemba 1.Kama Mwanafamilia wa JF
2. Kama waziri aliyepita
3.Kama mbunge
UCUF au uchadema wetu usitupelekee Kukosa uungwana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na mapunguvu yote, mimi nakupongeza ulivyokuwa naibu waziri wa fedha ulifanya vizuri sana. Nadhani kama watafikiria kukurudisha barazani basi wakuweke ktk eneo hilo.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Karibu tena JF maana naona mukipata Uwaziri huwa hamuoni umuhimu wa mikusanyiko ya kijamii kama hii. Ni vizuri unaibuka kama sehemu ya kampeni za mwaka huu. Lakini hebu onesha kidogo uelewa wako na sasa wewe ni Dr.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Nijuavyo mm..sadaka za siku hizi hazikataliwiUmenikwaza!...hayo ya sadaka ungeona haya ilhali watu wanajadili matendo yake maovu!
Hivi unamjua au akiwaambia Kilugha tu mnatosheka!
Kwa hiyo nyie hata Shetani akiwaletea sadaka mnachekelea na kuzipokea....!
Mh Mwigulu nina ushuhuda wa angalau Traffic Police mmoja kuwa ulikuwa unapendwa sana na jeshi la polisi....Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
Mkuu jibu swali hapahapa hayo mambo ya akutafute hujayasema kwenye main body ya Uzi wako.Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Wenzio huwa wanaanzisha nyuzi wanasepa hawajibu chochote,we unajibu,angalau hongera kwa hiloURAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Mimi sina chamaMkuu umepata nafasi ya kumuuliza maswali the former deputy minister of finance, internal affair minister na current MP - uliza Maswali achana kuunga mkono juhudi..
Hapa tuache UCCM, UCDM na UACT tumtwange maswali yaliyoshiba ili tumpime anafaa kweli kuwa one of our think tank au ndio maslahi binafsi??
Hatupo kwenye uandishi wa riwaya hapa tuko social media ...Na wewe ni walewale tu.
Hujui wapi pa kuweka nukta, koma, wala alama ya kuuliza.
Baada ya kusikia watu wamesema siku hizi huvai ndio ukaamua kuvaa siku ya matembezi ya Mangula si ndivyo Mh Mwigulu?Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Kwanini huwa mnapenda kuomba dua ambazo haziwasaidii mkuu, acha kulialia tafuta helaWeka ukweli hadharani, najua mengine hukuyafanya kwa matakwa yako bali kwa shinikizo au kuwapendeza wakubwa zako, lakini yamechafua taswira yako na yatakutesa sana kwani watu wanakumbukumbu ipo siku yataathiri ndoto zaki mbeleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii iliyopo siyo huru?Bavarian8
Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
Nadhani kusema Mwelekeo ni mzuri , alafu hapo hapo useme "Tutakiri haya miaka ijayo si sahihi"Hii ya UCHUMI, MWELEKEO NI MZURI, KWA MAANA YA KAMA NCHI TUNAJENGA MISINGI YA KUJITEGEMEA, HATUA HII HUWA NI NGUMU NA INAAMBATANA NQ UGUMU. MWELEKEO NI MZURI, TUTAKIRI HAYA MIAKA IJAYO