Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimba NILISHAMSHINDA mara mbili alipata 2000 Mimi 28000 Kitila hata sio mshindani ameingia CCM nikiwa nimeshapanga timu. Hizo ni hisia za mitandaoni tu. WAPIGA KURA NI HAWA HAWA NA UKUMBI UTAKUWA HUU HUU. Hapo na KILIMBA ALIKWEPONi kweli unamuogopa kilimba na kitila na misiba ikitokea wao wakiwepo wewe hauendi kwenye hiyo misiba?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hongera? Huwa sinywi pombe unanikutaje bar. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Huu NI MTAZAMO TU, BUT UKWELI NI KWAMBA CCM HAINA JESHIunayaonaje mabadiliko ndani ya CCM kutoka chama cha siasa hadi kuwa chama cha kijeshi
1. kushangiliwa si kigezo, kura ni siri.
Kwa hiyo umeanza kampeni? kazi kwenj Kitila na wengineoKilimba NILISHAMSHINDA mara mbili alipata 2000 Mimi 28000 Kitila hata sio mshindani ameingia CCM nikiwa nimeshapanga timu. Hizo ni hisia za mitandaoni tu. WAPIGA KURA NI HAWA HAWA NA UKUMBI UTAKUWA HUU HUU. Hapo na KILIMBA ALIKWEPO
Ufafanuzi umeeleweka. Swali langu la msingi, Je, ni lini utafuta matangazo ya kampeni zako 2015 kuhusu kuchaguliwa kuwa Rais.? Barabara ya kwenda bara, kwenye mawe makubwa na kuta za barabara zina maandiko ya chagua Mwiguru Nchemba kuwa Rais, Huoni hayo maandishi yanaleta taswira mbaya kwako wewe especially wanafunzi wanaojifunza methali zisemazo ' mkono wa mjinga huandika popote'Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
NDIO HATA LAMECK NILICHUKUA JINA LA MTU WEWE LA KWAKO HALIKUWA LA MTU? UMEKOSEA TU KIUSEMA LA MCHUNGA NG'OMBE. MCHUNGA NG'OMBE NQ MIMI WOTE TULICHUKUA KWA MTUKaka kuna huduma nyingine zaidi ya kunywa pombe[emoji3][emoji3][emoji3]
Vipi ni kweli wewe ni Lameck Madelu kwamba ulinyakua jina la msukuma mchunga ng'ombe??
Bado upo karibu na rafiki yako Dr Ngaponda??
Sent using Jamii Forums mobile app
NDIO kwa kiwango KIKUBWA SANAWana Iramba kwa sasa unadhani kero zao zimepungua hasa issue ya zahanati na vituo vya afya?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekupata school mate wanguKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Huna TAARIFA SAHIHI, HATA SASA NIKO NA TIMU MWANZA. KILA SIKU NATOA 1M KWA AJILI YA TIMUMbona umetususia team yetu ya singinda mbaka tunashuka daraja mimi nipo kambini sijaripwa posho wala mshahala
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!
Nawe ni mbunge, 'msomi' mwenye PhD, na mtu uliyewahi kuwa waziri!!
Kazi ipo.