Anafungiwa msanii, but not video director na crew nzima. Basata kama shule hawana

Anafungiwa msanii, but not video director na crew nzima. Basata kama shule hawana

kiufupi mwenye hati miliki ndo anayewajibishwa, kwa sababu mpangilio wa uunddaji na mpaka kukamilika lazima ashirikishwe na atoe maoni yake na mwisho hukubaliana na kazi yake kuwa imekaa vizuri na kuruhusu kwenda kwa jamii
 
Msibebeshe mizigo mizito watu wasiohusika.Mtu akifumaniwa nyumba ya kulala "wageni" kwa uzimzi wake asihusishwe muhudumu.
Mimi nauza visu katokea mteja kanunua kisu alafu nikapata taarifa yule mteja alijiua kwa kujichoma na kisu tumboni je biashara yangu ya visu inatakiwa ifungiwe?
 
Wadau si mnasema miziki ya matusi

Ndiyo ina soko sahvi

Maana sahvi wasanii hawaandiki wanabwabwaja tu na kulopoka

Ova
 
Mosi inabidi tujue Music Video ni Digital Asset (Mali ya kimtandao), Je Asset hii anaimiliki nani ni Msanii au Director basi huyo ndiye mwenye wajibu wakila kitu wa hio mali iwe faida na hasara Video msanii ndiye anaye Uploads kwenye Platform mbalimbali Kama YouTube na kupata faida ya pesa kulingana na Views ambao wanamuingizi pesa msanii......swali ni kwanini ujawai kuhoji hizi faida kwanini apate msanii pekeyake (Leo) unahoji kwenye hasara wapate wote msanii na director.

Wajibu wa Director upo kwa msanii tu kwa kazi yake faida na hasara akisha Submit kazi yeye hausiki tena unless uwe kazi iwe inawafaidisha wote baada ya kua uploaded kwenye Digital Platforms
 
issue ipo hivi, wasanii wanatunga nyimbo, video director na all credited members ndo wanahusika kwenye video

FUNNY PART : DIRECTOrs na credited members wao wapo salama. ila msanii anafungiwa. yeye kashooT tu. mtoa idea yupo anaendelea na kazi? why?

BASATA ARE SHALLOW : Okay wasanii wamefungiwa ila madirectors wa video wanaendelea kutoa video. makosa wana solve shallow . ili YAJILUDIE, not everyone is involved to the point after few days mambo yale yale tena.

Conclusion:

1. BASATA HAWANA KAZI, WANATAKA KUONEKANA WANAFANYA KAZI. KWA KUTOKUSOLVE MATATIZO PERMANENTLY.

2.BODI YA FILAMU na BASATA are separate organisations. kwanini?? i mean directors wa video don't actually answer to basata. 😂😂. TANZANIA KUNAVITUKO.

(these two should be one organisation)
nani ametuloga we separate them..
"Hili nalo lichukueni mkalifanyie kazi" Chief Hangaya 🤣🤣🤣🤣
 
kiufupi mwenye hati miliki ndo anayewajibishwa, kwa sababu mpangilio wa uunddaji na mpaka kukamilika lazima ashirikishwe na atoe maoni yake na mwisho hukubaliana na kazi yake kuwa imekaa vizuri na kuruhusu kwenda kwa jamii
sure.
 
Mosi inabidi tujue Music Video ni Digital Asset (Mali ya kimtandao), Je Asset hii anaimiliki nani ni Msanii au Director basi huyo ndiye mwenye wajibu wakila kitu wa hio mali iwe faida na hasara Video msanii ndiye anaye Uploads kwenye Platform mbalimbali Kama YouTube na kupata faida ya pesa kulingana na Views ambao wanamuingizi pesa msanii......swali ni kwanini ujawai kuhoji hizi faida kwanini apate msanii pekeyake (Leo) unahoji kwenye hasara wapate wote msanii na director.

Wajibu wa Director upo kwa msanii tu kwa kazi yake faida na hasara akisha Submit kazi yeye hausiki tena unless uwe kazi iwe inawafaidisha wote baada ya kua uploaded kwenye Digital Platforms
watu tu awataki kuwa serious with there asserts ila vitu vipo wazi kabisa.
 
Creativity copyright inabaki kwa director na crew yake hata Msanii akiulizwa video alitengeneza nani atakwambia Hanscana, Ila umiliki wa video mmiliki wa video ni Msanii na yeye ndio main character wa video casting husika kwa hio kukitokea lolote anaewajibishwa ni Msanii maana yeye anaenda na script kwa director akiwa na crew yake then director anaset location na kutafuta vitu vinavyohitajika
 
Creativity copyright inabaki kwa director na crew yake hata Msanii akiulizwa video alitengeneza nani atakwambia Hanscana, Ila umiliki wa video mmiliki wa video ni Msanii na yeye ndio main character wa video casting husika kwa hio kukitokea lolote anaewajibishwa ni Msanii maana yeye anaenda na script kwa director akiwa na crew yake then director anaset location na kutafuta vitu vinavyohitajika
artist na scrit wapi na wapi?? do you hear yourself.
 
sio kweli ni mali ya wote. ni bongo tunaraisisha vitu. creativity si ya msanii pekee. but all credited individuals
Tofauti producer wa audio na director wa video mzee,sijawah ona wala kusikia eti madirector wanakua na share ya umiliki kwny video,,naomba km una vivid unipe
 
Tofauti producer wa audio na director wa video mzee,sijawah ona wala kusikia eti madirector wanakua na share ya umiliki kwny video,,naomba km una vivid unipe
🚮 smart phone yako ni kama kopo. use Google. read, research.
 
🚮 smart phone yako ni kama kopo. use Google. read, research.
I'm not interested bro,you should put ur facts straight hapa km unabisha nachokwambia,tena we ambae huhitaj kugoogle inabid utupe vivid zako tena faster tu,till then you're still dumb fool and a aged moron
 
Tofauti producer wa audio na director wa video mzee,sijawah ona wala kusikia eti madirector wanakua na share ya umiliki kwny video,,naomba km una vivid unipe
Director anamiliki 'artwork creativity' hamiliki video maana video haki zote za umiliki anamuuzia Msanii na Msanii akishalipia obligations zote zinahamia kwa Msanii
 
Director anamiliki 'artwork creativity' hamiliki video maana video haki zote za umiliki anamuuzia Msanii na Msanii akishalipia obligations zote zinahamia kwa Msanii
sio kweli. na obvious ujui. and i wont help you
 
sio kweli. na obvious ujui. and i wont help you
Wewe ndio haujui we 'Zombie'
ee13dd668f5a774464e9f70112905e92--zombie-art-gothic-art.jpg
 
Back
Top Bottom