Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Nimepitia na naendelea kupitia mengi sana ndugu yangu ni vile tu shida haziwekwi usoni inakubidi ucheke na watu maisha yaende..Nimepitia comments zako kwenye huu uzi, una comment kwa maturity sana, inaonekana maisha yamekufundisha sana
Hii mi najua ilikua inawezekana tokea miaka ya 70 huko, , ila walikuwa hawafanyi kwa sababu za ethics.Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja
Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi
Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?
Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye
View attachment 2454774View attachment 2454775
Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.M
Mbona itakuwa mimba ya mateso
Kuhusu Nini my dear,kipenzii weweπ€£π€£π€£π€£
Hujanjibuuu ujue
Ndio ni mimiMtoa mbegu ndio wewe?
Duh! Kumbe atakua chini ya uangalizi wenu kama jela hivi?Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
True ila nimbaya mkisex na hamna mpango wa kuoanaTechnolojia hii ni nzuri ila mimi binafsi sijaipenda sababu inaondoa ubinadamu kidogo, ila ya kupandikiza kwa mwanamke kuna ubinadamu kwa kiumbe atakae zaliwa.
Huo ni mtazamo wangu
Sasa mkuu, why unataka kulea mtoto bila mama?Ndio ni mimi
KwannNi kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
Kwann umeamua kupata mtoto kwa njia hiyo?Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
Kuchangamkia fursaKuhusu Nini my dear,kipenzii wewe
Sio kama jela, ila kwa usalama wake.Duh! Kumbe atakua chini ya uangalizi wenu kama jela hivi?
Mie sipo???Kuchangamkia fursa
Tumayai si tupo?
Akikujibu ni tag pleaseSasa mkuu, why unataka kulea mtoto bila mama?
Au tayari una mke ambaye ataplay hiyo role?
Kwanza huu ni unyanyasaji.Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
Mtoto/watoto watalelewa vizuri ndugu, kumbuka itakua damu yangu hivyo malezi lazima yazingatiweSasa mkuu, why unataka kulea mtoto bila mama?
Au tayari una mke ambaye ataplay hiyo role?
ππππππMie sipo???
My first born atazaliwa Kwa chibaba wake